Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Hapo sawa, sasa tusubiri ME aje kama atapata mapokezi kama hayaWamesikia kwa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sawa, sasa tusubiri ME aje kama atapata mapokezi kama hayaWamesikia kwa kweli
Bora hata usivae chupi kuliko kuvaa tait inakuwa kama mtu naenda kuoga halaf unavaa condomChupi yenyewe sivai
Nokia kuna nguo kama ipo transparent tait lazima uvae ni tait fupiBora hata usivae chupi kuliko kuvaa tait inakuwa kama mtu naenda kuoga halaf unavaa condom
Maana ya hiyo nguo kuwa transparent ni ili tuobe vilivyo ndani.Nokia kuna nguo kama ipo transparent tait lazima uvae ni tait fupi
Kama nakuona vile[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Chupi yenyewe sivai
Haya bhana[emoji13]Ndio
Una umri wa miaka mingapi toka utoke tumboni mwa mama yako?Hapana bado saint
Jina langu hukuliona?Nimepita baazi ya sehemu. Tangu Jana jioni nimejiunga hapa kuna sehemu nyingi sana watu wanakoment sana sana Kwenye siasa na post za mapenzi. Gudume nimemkuta anataka kutoa bikra kitu kama icho[emoji1]
Hiyo miaka vipiiii? Au ndo mambo ya hisabati statistics! Hiyo range sijaielewaHabari zenu. naitwa Aniva ni msichana 25-30's Age
Nimejiunga humu Jana. Naombeni Kiti Na miongozo ya humu ndani. Ntafurahi Kama nitapata marafiki Wa aina zote Asanteni.
Ww unapenda kuchungulia nn?Unaonekana unapenda kuchungulia chupi