Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
A Written word = a spoken word as long as the Brain is involved !!.I just read not heared . hao makatuni ndio wamesikiana 😀 😀
Well ,HUMU [emoji116] [emoji116]Send me ur voice note
Haya maelezo yote yalikua hayahitajiki. Ungesema kidogo tu kua humu haiwezekani.Well ,HUMU [emoji116] [emoji116]
[emoji117] hamna application ya kutumiana voice or kupigiana call.
[emoji117] Hutakiwi kuweka Picha zako ktk majukwaa kama hapa ,,picha mnapeana huko Private Message.
[emoji117] hutakiwi kuweka majukwaan mawasiliano yako ,Bali mawasiliano mnabadilishana PM ukipenda kubadilishana namtu.
[emoji117] hutakiwi kushea classified info zako majukwaan unless umeamua kufanya kwa kupenda ,,ila pia mkiwa Private Message PM ,mnaweza kushea
[emoji117] [emoji117] Kwaufupi ukiwa majukwaan hutakiwi kushea info zako muhimu ,maybe uwe umependa ,, Ila mengi yanafanyika PM .
Kuweka hapa classified info , nihatar kwa usalama labda uwe unaamin hauna kitu chakupoteza !!.
Hivyo maswali utakayoulizwa sana nayanayohusu we zaidi ,unaishi wapi ,nchi gan,mkoa gan ,sijui elim+kazi +familia zako ,,yaan ukiulizwa mjibu tu *Nifate PM* hii nikwafaida yako na usiri Wa mambo yako !!.
Kinyume nahapo ,unaweza kuja ukajilaumu maana kila mtu anakua anakujua !! Sasa hapo ndo kimbembe !!
99.9% yawatumiaji Wa JF wanatumia Majina ya Uongo ,sio yakwao hayo !!! Hii nisababu ya Usiri !!.
HIVYO JARIBU KUISHI KAMA JAMII YAKO ILIVYO !!.
Bado asingenielewa !! Ndo maana kupitia Wish yake ,nmeona nmueleweshe ktk hayo ,,, any problem Mr?.Haya maelezo yote yalikua hayahitajiki. Ungesema kidogo tu kua humu haiwezekani.
No brother ila sio vibayaBado asingenielewa !! Ndo maana kupitia Wish yake ,nmeona nmueleweshe ktk hayo ,,, any problem Mr?.
Yaaah ukifatilia koment za huyu mdada utagundua bado hajajua what's going on humu,,sasa kuliko kumuacha aje ajue kwabaadae nawakat tayar everything is open inakua sio poa , nawatu atakaowalaumu nisisi pia !!.No brother ila sio vibaya
Ila usipatie epo njia ya kumtaka nitamchukua mima....Yaaah ukifatilia koment za huyu mdada utagundua bado hajajua what's going on humu,,sasa kuliko kumuacha aje ajue kwabaadae nawakat tayar everything is open inakua sio poa , nawatu atakaowalaumu nisisi pia !!.
Hahahaha amna sina maana iyo mkuu !! Wee jimwage tu kwa mtoto alafu kapo Really sana ,kanyenyekevu mnooo ila kana kanakaubishi !!.Ila usipatie epo njia ya kumtaka nitamchukua mima....
Kama ni kweli niunganishie bosss mambo yaende sawa...Hahahaha amna sina maana iyo mkuu !! Wee jimwage tu kwa mtoto alafu kapo Really sana ,kanyenyekevu mnooo ila kana kanakaubishi !!.
Mima tena? [emoji375] [emoji380] [emoji379] [emoji378] [emoji377] [emoji382] [emoji365] [emoji356] [emoji358] [emoji351] [emoji351] [emoji351]
Duh hapa nimeelewa kila kitu. Shukurani sana aseeWell ,HUMU [emoji116] [emoji116]
[emoji117] hamna application ya kutumiana voice or kupigiana call.
[emoji117] Hutakiwi kuweka Picha zako ktk majukwaa kama hapa ,,picha mnapeana huko Private Message.
[emoji117] hutakiwi kuweka majukwaan mawasiliano yako ,Bali mawasiliano mnabadilishana PM ukipenda kubadilishana namtu.
[emoji117] hutakiwi kushea classified info zako majukwaan unless umeamua kufanya kwa kupenda ,,ila pia mkiwa Private Message PM ,mnaweza kushea
[emoji117] [emoji117] Kwaufupi ukiwa majukwaan hutakiwi kushea info zako muhimu ,maybe uwe umependa ,, Ila mengi yanafanyika PM .
Kuweka hapa classified info , nihatar kwa usalama labda uwe unaamin hauna kitu chakupoteza !!.
Hivyo maswali utakayoulizwa sana nayanayohusu we zaidi ,unaishi wapi ,nchi gan,mkoa gan ,sijui elim+kazi +familia zako ,,yaan ukiulizwa mjibu tu *Nifate PM* hii nikwafaida yako na usiri Wa mambo yako !!.
Kinyume nahapo ,unaweza kuja ukajilaumu maana kila mtu anakua anakujua !! Sasa hapo ndo kimbembe !!
99.9% yawatumiaji Wa JF wanatumia Majina ya Uongo ,sio yakwao hayo !!! Hii nisababu ya Usiri !!.
HIVYO JARIBU KUISHI KAMA JAMII YAKO ILIVYO !!.
Hahaha eti kapo real. Mimi mbishi kinyama. Afu mgumu sana. Sema bado sijajua mambo ya humu tuuHahahaha amna sina maana iyo mkuu !! Wee jimwage tu kwa mtoto alafu kapo Really sana ,kanyenyekevu mnooo ila kana kanakaubishi !!.
Mima tena? [emoji375] [emoji380] [emoji379] [emoji378] [emoji377] [emoji382] [emoji365] [emoji356] [emoji358] [emoji351] [emoji351] [emoji351]
Sio mbaya nikiwa reserve bibie🙄🙄Heee. Akuunganishe wapi? I am booked Mr. 😀 😀 😀 😀 😀