Suruali unavaa kiuno size ngapi?!Amna siyo ndefu ILa zinabanika vizuri tuu na zinafit
Njoo PM mrembo nikushike mkono ili uzoee vijiwe vizuri.Hahahaahahah
Aniva ww mgeni kweli humu?!ILa wewe umeoa tial na mke wako anakuangalia hapa. Wewe shauri yako tuu
SawaMmh ebu some vizuri niliyemwambia
Huyo kuwa nae makini sana yaan yote atakuja kuniambiaILa wewe umeoa tial na mke wako anakuangalia hapa. Wewe shauri yako tuu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] thread ya me inakuwa na comments 5Hivi mbona KE huwa zinakaribishwa vizuri sana JF? ila kama mgeni ni ME hata siredi itakosa wachangiaji
Akikujibu niambie bajeti ipo tayari hapaSuruali unavaa kiuno size ngapi?!
Sasa mkuu hilo nalo ni swali la kujiuliza.Hivi mbona KE huwa zinakaribishwa vizuri sana JF? ila kama mgeni ni ME hata siredi itakosa wachangiaji
Hahahahahaaaa.Aniva ww mgeni kweli humu?!
Aliyekwambia mm nmeoa nani?!kama ndio mbinu ya kunikataa basi imedundaNdiyo ni mgeni. Kwani vipi
[emoji3][emoji3][emoji3]Akikujibu niambie bajeti ipo tayari hapa
Huo ni ubaguzi wa kijinsia kabisa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] thread ya me inakuwa na comments 5
Mgeni wewe nakupenda bureSawa dear. Huyu hawezi Fanya vitu vya ajabu maana hapa ni live live