Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Nilijua tuUnataka tufanye massage?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilijua tuUnataka tufanye massage?
Nakuharibiaje sasa na wakati me na we tunakulana jamanAcha kuniharibia mingo zangu
Umenifananisha na nabii tito wakoNakuharibiaje sasa na wakati me na we tunakulana jaman
Karibu sana mgeni. Huku JF watu wana bebez wao. So kama vp naomba uwe bebe wangu wa JF.Mimi ni msichana "ke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umenifananisha na nabii tito wako
Kweli tena ME hatutendewi haki kabisa....[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] thread ya me inakuwa na comments 5
Halaf kingine uwe makini humu jf unaweza chat na mtu ukajua mwanaume kumbe ni mwanamke mwenzioNgoja kwanza tujuane maana mapema mno humu hata mmoja simjui
Usinicheke mrembo, yaani leo siku njema kwangu kukupata wewe[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mara mwisho lini umevaa gagulo?!I mean mesage "text"
Hapana hizo avatar zisikuchanganye anaweza kuwa ke mambo ya jf hayo avatar fakeHuyu nimeshamjua hata dp yake ni mwaname
We Aniva wewe, halafu mbona kama mwejeji hivi, maana unaijua mitaa yote ya humu JF.... Njoo pm unieleze kimya kimya ulikua unatumia ID gani sitasema kabisa[emoji14][emoji1] [emoji1] [emoji1]
Jichekee tu mamy maisha yenyewe mafupi hayaUsinifurahishe dear