Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,804
- 2,128
Dah, Uzi unakimbia kwa kasiiiiii. Kisa wewe ni Ke au me!! Nyiee, nchi ya viwanda tutaifikia kweliii???? Tunawaza raha tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli ufeisti kulashi sikukosea mama thus naendelea kukuamini! [emoji6] [emoji6]Ndo inavyotakiwa,hutakiwi kuchelewa
Umenifanya nicheke[emoji23][emoji23][emoji23]maana nimekumbuka mbali sana,enzi za[emoji378] [emoji380] yaani wewe ndo mana huwa nakuhamu sanaKweli ufeisti kulashi sikukosea mama thus naendelea kukuamini! [emoji6] [emoji6]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nakuhamu pia my only one pimbi. We siku hizi ndio umejificha nakutafuta zaidi ya pesaUmenifanya nicheke[emoji23][emoji23][emoji23]maana nimekumbuka mbali sana,enzi za[emoji378] [emoji380] yaani wewe ndo mana huwa nakuhamu sana
Karibu sana dada yetiHabari zenu. naitwa Aniva ni msichana 25-30's Age
Nimejiunga humu Jana. Naombeni Kiti Na miongozo ya humu ndani. Ntafurahi Kama nitapata marafiki Wa aina zote Asanteni.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Hapana maisha yangu yakawaida sana somtimez napiga mizinga wazee
Duh sasa Mimi tiali Nina mpenzi wangu
Kila la kheriHapana iLa Nina mpenzi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi unamkumbuka bibi erick otieno aka husna bosslasy?
Nakukumbusha tu mimi[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Ndio hivyo mama.Kama husna bosslady halafu bado hawajifunzi tu