Nikaribisheni

Nikaribisheni

Hapana sijaona text yako. Ningekujibu mbona
Mmhhh maybe basi Mods watakua ktk mwendelezo wao wa wivu !!.

Maana notification ya Uzi wako ,ikachelewa ,nmekuja kuipata Tatar seat zote zimejaa and I didn't want to sit btn the two chairs !.

NmekuPM unasema bado hujaiona ,siku ya tatu sasa !!.

Wewe na mod nyote you are just pretending not to like me !!.
 
Mmhhh maybe basi Mods watakua ktk mwendelezo wao wa wivu !!.

Maana notification ya Uzi wako ,ikachelewa ,nmekuja kuipata Tatar seat zote zimejaa and I didn't want to sit btn the two chairs !.

NmekuPM unasema bado hujaiona ,siku ya tatu sasa !!.

Wewe na mod nyote you are just pretending not to like me !!.
Nop. Kweli vile sijaona kabisa text yako. Mbona ningekujibu mtu wangu kwanin nikufiche?
 
Mmhhh maybe basi Mods watakua ktk mwendelezo wao wa wivu !!.

Maana notification ya Uzi wako ,ikachelewa ,nmekuja kuipata Tatar seat zote zimejaa and I didn't want to sit btn the two chairs !.

NmekuPM unasema bado hujaiona ,siku ya tatu sasa !!.

Wewe na mod nyote you are just pretending not to like me !!.
Who is mofs?
 
Nop. Kweli vile sijaona kabisa text yako. Mbona ningekujibu mtu wangu kwanin nikufiche?
Aya maana hujaiona endelea kusubiri siku ikifika unijibu ,nisingependa kuandika Tena ,hii sasa nizamu yako weee !.

Thank you for your greatest hospitality!!.[emoji120]
 
Who is mofs?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unachapia sana ,,hujanywa Maji ya kutosha ?[emoji23] [emoji23]
Sio Mofs ,,,ni mods ..mods ni short term ya Moderators ,hawa ni waajiriwa Wa JF ambao kazi yao ni kumonitor na kuongoza nakuhakikisha sheria za utumiaji Wa JF zinafuatwa!!

Yaan Hawa , kama umeandika Uzi usokua na maudhui wanaufuta !!.

Haya,, kwa maelezo nlokupa ,ukizingatia hamna chabure hapa dunian ,, what are you going to offer me in return?.
 
Sio lazima ukae bana.

Hata kwenye daladala huwa tunaambiwa ''njoo ukae" huku ukiingia unaenda kusimama[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahahaa haya bana. Nirudishie kile kiti nikae maana kiuno kinauma kusimama 🙂 🙂
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unachapia sana ,,hujanywa Maji ya kutosha ?[emoji23] [emoji23]
Sio Mofs ,,,ni mods ..mods ni short term ya Moderators ,hawa ni waajiriwa Wa JF ambao kazi yao ni kumonitor na kuongoza nakuhakikisha sheria za utumiaji Wa JF zinafuatwa!!

Yaan Hawa , kama umeandika Uzi usokua na maudhui wanaufuta !!.

Haya,, kwa maelezo nlokupa ,ukizingatia hamna chabure hapa dunian ,, what are you going to offer me in return?.
Hahahahaa. Nothing than thanks 😵 😵 😵
 
Mmhhh kuwaza lazima niwaze aisee , nisipowaza nani ataniwazia ?? Yaan unanifanya [emoji116] [emoji116]
b4e964855ad9a878d702cca4f3b080a3.jpg
nisaidie kuyajibu basi !![emoji115] .[emoji120]
Chagua moja nikujibu Hapo. Yote ntaandika nimalize page Nzima hapa
 
Hahahahaa. Nothing than thanks 😵 😵 😵
Amna ukifanya ivo siku ingine siwezi kukusaidia unless you don't need my help anymore!!.

Kutoka kwangu ,, naomba unisaidie mambo haya matatu just for insurance purpose
[emoji117] majina yako matatu kamili.
[emoji117] namba ya simu hata km ni ya Baba nisawa ,ili mradi niwe namuuliza Aniva hajambo !!.
[emoji117] kila siku asubuh niwe MTU wako wakwanza kumjulia hali nakila siku usiku niwe MTU wako wamwisho Wa kumtakia usiku mwema !!.

Please PM me if you are brave enough[emoji12] [emoji12] !!.
 
Back
Top Bottom