Nikasema leo niangalie huyu wanaesema Pele alikuaje enzi hizo. Kweli alikuwa nuksi

Enzi hizo hakukuwa na offside full kuvizia na mabeki walikuwa mashoga shoga
Mkuu nahisi wewe utakuwa wa jana jana.
Mabeki walikuwa mashoga shoga?!!

Washambuliaji walikuwa wanavunjwa miguu kama kuku. Wakati mwingine forward wanakimbia match sababu ya back wababe na katili.
 
hakuna bondia kama Ali..anapigana unaona kabisa hela na muda wako unaenda kihalali..achana na ngumi njaa za akina Tyson..Ali anakupiga huku anakutukania mamaako
Hapo kwenye ndondi kwa upande wangu Mike Tyson hadi Mimi niliyekuwa namwangalia nlikuwa namuogopa. Achana na ngumi za kudokoana na kuvizia halafu kutwa unazunguka ulingo wote.
 
Mkuu vipi aise....Kitu kinajulikana kabisa alafu wewe unatuletea shombo hapa,, umemcheki pele tu, Diego umemcheki pia??? Walikuwepo Puskas, Cruiff, Alfredo de stefano n.k umewacheki????

1-King

2-Hakuna kabisa, huu ndio ukweli anaebisha abishe mpaka apasuke

3-King Diego

4-Pele

5-Alfredo de Stefano

6-Cruiff

7-Zidane

8-Requelme

9-Cr7

10-Puskas

11-Di lima



Enzi za pele watu walikuwa wanajifungia kiholela/hovyo, ,, offside mtu anajipigia anavyotaka,,yani mpira wa zamani ulikuwa vichekesho sana 😀 sheria hakuna, yellow n red cards sidhani kama zilitumika wakati huo....lakini mtu ukimwambia haya maneno haamini. Wabongo ndivyo tulivyo....twendelee kusubiri viwonder ifikapo 2050.
 
Nimeangalia tena magoli ya pele, HAYANA skills, ni mazuri kwa kizazi hicho ila kwa kweli kwa sasa tuko advanced. Hayana nafasi.
Alafu wachezaji wa zamani hata hawajui kushangilia.
 
Hapo kwenye ndondi kwa upande wangu Mike Tyson hadi Mimi niliyekuwa namwangalia nlikuwa namuogopa. Achana na ngumi za kudokoana na kuvizia halafu kutwa unazunguka ulingo wote.
alipigana na maboya wengi..halafu ni ngumi njaa..nimpige fasta nikombe mahela
 
Nimeangalia tena magoli ya pele, HAYANA skills, ni mazuri kwa kizazi hicho ila kwa kweli kwa sasa tuko advanced. Hayana nafasi.
Alafu wachezaji wa zamani hata hawajui kushangilia.

Mpira wa zamani ulikuwa hovyo kabisa,, hauvutii 😀😀😀
 
Hapo 1 na 2 Mimi huwa sikubali,manake huwa naona 1 ni 2 na 2 ni 1

Ila messi ni habar nyingne,yaan anacheza kwenye ulimwengu wa mpira wa science na elim ya darasan lakin bado anatupia,..enz za hawa wa zaman,competition ilikua sio kubwa,so best player wa miaka hii na miaka ile,wana utafaut mkubwa

Kwangu andunje teja hamfikii hata andunje modern..

Maradona na messi mpira wao unafanana kila kitu, ila maradona kazidiwa dribbling ya messi ni nzuri zaidi, messi ni mwepesi kuliko alivyokuwa maradona, messi yuko na speed zaidi. Mengine wako sawa

Nimeangalia tena magoli ya pele, HAYANA skills, ni mazuri kwa kizazi hicho ila kwa kweli kwa sasa tuko advanced. Hayana nafasi.
Alafu wachezaji wa zamani hata hawajui kushangilia.
Mnapowalinganisha Pele Na Maradona dhidi ya akina Messi pia muangalie aina ya viwanja vilivyokuwa vimatumika wakati huo na sheria za Mpira wakati huo.Viwanja vilikuwa vibovu Na walinzi 'rough'uwankani ilikuwa ya kuvunjana miguu.Hii mnayoita double clutch haikuwa kosa wala hapamuwa na kadi kwa kosa hilo

Kwa aina ya mpira Wa zamani ulikuwa umachezwa kwenye hali ngumu sana kiasi kwamba Messi Na wengineo Wa sasa wasingehimili ila kwa maboresho ya sheria Na viwanja Pele Na Maradona wangekuwa hatari zaidi.

Hivi Messi anaweza kuucheza Moira vizuri kwenye viwanja vyetu vya ndondo cup Kama kule Mkwakwani,Jamhuri Morogoro,Kirumba n.k

Wenzetu wanapowaweka hao jamaa nafasi za juu si kwamba hawajui Messi ni bora ila mazingira yanafanana?
 
hakuna bondia kama Ali..anapigana unaona kabisa hela na muda wako unaenda kihalali..achana na ngumi njaa za akina Tyson..Ali anakupiga huku anakutukania mamaako
Ali = floyd mayweather,..kudokoa na kukimbia,....tyson hajawai tokea bondia kama yeye dunian had leo hii,wenyew wamarekan wanakiri hilo,ndomana leo ukiongelea ngum referenc ni tyson,..had brand yake mpaka sasa,had konyag ina jina lake
 
Pov la nin sasa mkuu,hapa si majadiliano tuu,..uswahil mwiiing,kama unaona vp usichangie uzi
 
Bas kama point ni ubora wa viwanja una determine uchezaji,bas wachezaj wa bongo ni bora kuliko wote dunian,au sio
 
Bas kama point ni ubora wa viwanja una determine uchezaji,bas wachezaj wa bongo ni bora kuliko wote dunian,au sio
Sasa unadhani ubora Wa uwanja hauongezi ubora Wa mchezaji? Na unafikiri kwanini wanaboresha ubora Wa viwanja.

Niambie timu inavyocheza Mkwakwani in sawa Na inavyocheza Taifa Dar es Salaam?

Sent from my HUAWEI Y625-U32 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…