gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
Inafaa kwenye magazeti ya udaku sehemu ya chombezo.
Poa!Swaiba salama lkn,
Huyu mdingi huwa anafanikiwa ila anaona so kusema anaogopa tutamharibia kwa maza lol,
Haiwezekan matukio yote haya awe anaishia kukosa tu lzm huwa anabahatika ila ndio ivo tena!!!
Bingwa wa kupotezea yan iweje yeye kila siku dili zake zibume jaman!Poa!
yeye naona story zake zoote anakuwa kama Dr Love (PIMBI)
Bingwa wa kupotezea yan iweje yeye kila siku dili zake zibume jaman!
Hebu muulizen vizuri lol!
Ndio nakusanya wanachama mkuu.........................
Karibu sana JF mkuu........ Naomba uwasiliane na Invisible akupe vigezo na masharti vya hapa JF ili tuende sambamba.......Kila nafsi ina majuto yake,pole kwa vitasa! ukweli ni kwamba hakuna mwanamke mgumu, ila ujuzi wa kutongoza ni tatizo la kitaifa nadhani................
mkuu mbona huwa usemi unapofanikiwa bwana, walau uwe unasema ulipofanikiwa wewe zote ulikuwa unakosa tuu!
Nyie hamna kumbukumbu Mtambuzi alifanikiwa kumlamba housegirl mpaka akapata mimba, kuzaa mtoto mwarabu..lol!Swaiba salama lkn,
Huyu mdingi huwa anafanikiwa ila anaona so kusema anaogopa tutamharibia kwa maza lol,
Haiwezekan matukio yote haya awe anaishia kukosa tu lzm huwa anabahatika ila ndio ivo tena!!!
Mwambie bana awe anamalizia mpaka mwisho wa stori lol!Kunakitu anaficha bwana hataki kusema ukweli, yeye anaishia kubaya tuu!
Hahahaha hahahaha,Nyie hamna kumbukumbu Mtambuzi alifanikiwa kumlamba housegirl mpaka akapata mimba, kuzaa mtoto mwarabu..lol!
Nyie hamna kumbukumbu Mtambuzi alifanikiwa kumlamba housegirl mpaka akapata mimba, kuzaa mtoto mwarabu..lol!
Hizi stori ni za ujanani wakati huo ndio nilikuwa nimebalehe, kijana shababi mwenye siha ya kutosha, damu inachemka na unataka kutimiza hitaji la mwili ambalo liko nje ya uwezo wako.................Lolote linaweza kutokea na ndio chanzo cha misukosuko hii ninayoisimulia........................hivi hizi story zako huwa unazitolea wapi?