gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
Inafaa kwenye magazeti ya udaku sehemu ya chombezo.
Kaka Mtambuzi hatungi hizi stori...
Ila ni stori za kweli za matukio tena ya hapa Tanzania,anazozinukuu mahali... Hivi nataka aiweke stori moja one of the best... Inayohusu kijana aliyekuwa anatumwa na bosi wake wa Kihindi kwa kumtafutia kina dada... (ukuwadi)