ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Kwanza nalaani haya mauaji yote
Mauaji yote chanzo ni hapo Tegeta
Wananchi kuchukua sheria mikononi na kuuwa sio jambo zuri, wote tunalilaani
Mzee Kibao alikufa Toka mwezi September hadi Leo hatujaona hao watekaji na wauaji wa Mzee Kibao kukamatwa na japo waliacha kila alama.
Mzee Kibao alitekwa mchana kabisa watu wanaona, kwenye bus Tashrif alikuwepo askari na majina yake yalitajwa, hao watekaji walikuwa na bunduki na pingu.
Kama hawa hawajajulikana ina maana hatuko salama kama Taifa
Sasa huyu mtumishi wa TRA aliuawa na watu waliomtilia shaka kuwa ni Moja ya watekaji, ambapo watekaji nao wanakuja na tabia hizo sio police na hawana vibali vyovyote na hili liliwapa wananchi hasira na kuchukua sheria mikononi
Nitashangaa kama hatua zitachuliwa dhidi ya hawa wauaji wa mtumishi TRA kabla ya wale wa Mzee kibao
Hapa ndo tutapima utashi wa serikali na kuona raia wote ni sawa, na tutaona haki
Pia soma
Mauaji yote chanzo ni hapo Tegeta
Wananchi kuchukua sheria mikononi na kuuwa sio jambo zuri, wote tunalilaani
Mzee Kibao alikufa Toka mwezi September hadi Leo hatujaona hao watekaji na wauaji wa Mzee Kibao kukamatwa na japo waliacha kila alama.
Mzee Kibao alitekwa mchana kabisa watu wanaona, kwenye bus Tashrif alikuwepo askari na majina yake yalitajwa, hao watekaji walikuwa na bunduki na pingu.
Kama hawa hawajajulikana ina maana hatuko salama kama Taifa
Sasa huyu mtumishi wa TRA aliuawa na watu waliomtilia shaka kuwa ni Moja ya watekaji, ambapo watekaji nao wanakuja na tabia hizo sio police na hawana vibali vyovyote na hili liliwapa wananchi hasira na kuchukua sheria mikononi
Nitashangaa kama hatua zitachuliwa dhidi ya hawa wauaji wa mtumishi TRA kabla ya wale wa Mzee kibao
Hapa ndo tutapima utashi wa serikali na kuona raia wote ni sawa, na tutaona haki
Pia soma