Niki Mbishi ameacha rasmi kufanya muziki wa hip hop

Duke Tachez

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2018
Posts
5,461
Reaction score
4,138
Msanii Niki mbishi kutoka tamaduni music ameacha hiphop na
Sasa anafanya bongo flava , Niki huwa anachukuliwa kama mmoja ya wasanii wakali kabisa wa Hip Hop barani Afrika lakini unfortunately amesaliti harakati na kuanza kuimba mambo ya kipuuzi ambapo inaaminika Msanii akiimba vitu vya kipuuzi ndo anapata mafanikio

Picha ya Niki ya kusikitisha hiyo hapo enjoy!!!!!
 
WaKati anafanya inavyotAkiwa alipewa heshima aliyostahili?? Hao washika dau wenu ndio wanaoregulate soko la mziki. Washikadau namaanisha wakina Ruge
 
Sina hakika kama anapendeza kuimba laini...ngoja nizitafute niskie
 
Haha sio kweli Nikki ukiacha ubishi wake pia ni one amongst smartest guys kwa Industry ya mziki sema ndoivo sometimes game haiko fair...Ila i can bet my bottom dollar Nikki hawez kuwa unavosema ivo
 
Mi sijaelewa iyo picha ilivosikitisha?
Sawa naona suruali inambana lakini sijaona anavoimba.
 
Kwa kupenda KWETU ujinga ujinga, tutawapoteza wengi ktk game.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…