Niki wa Pili unabonga sana

Tembomtata

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2011
Posts
266
Reaction score
426
Nimekuwa nikifuatilia Weusi kwa muda sasa na nimekuwa impressed nao sio kwa kazi zao hata character zao as individuals hasa joh makin na g nako. Ila am not impressed for the case of Niki, amekuwa muongeaji kupita maelezo, mafanikio madogo atakuza kila mtu ajue (PhD) kila mtu aone anasoma, my young bratha in todays world u dont need to say to show off for things that any one can do it.

Nimekaa na watu wengi wa Arusha sio watu waongeaji coz wamezoea mafanikio lakini wewe u have a strange character.

Maneno maneno achia hawa watoto wa uswahilini remember umetoka wapi. Umepata tu admission ya PhD unatangaza fanya kazi kwanza then kazi ikutangaze.
 
Kwan ww elimu yako ni ip? Muache aseme kwani inakuuma nini? Yy anajitangaza ili apate pesa
 

mkuu nakuunga mkono.suala la elimu siku hizi ni kitu cha kawaida sana sioni haja ya yeye kujitangaza ovyo.
 

hebu nukuu maneno yake yanayoonyesha kuwa anajinadi kuwa yeye ana mafanikio then ndio tutaanza kumpiga madongo au kumpaisha otherwise unaweza kutumia bifu zako binafsi kumponda tuu mshkaji wabongo tushawazoea! Note: mimi sio shabiki wa huyo jamaa ma huwa sifahamu kama anaimba au anasoma lisala!
 

Lini ulomsikia Nikki wa Pili anajitangaza?? hivi katika wasanii wanaongea ongea unaweza ukamuweka na Nikki kweli??
 
Vp mbona povu, amekupigia demu wako nini?Kimsingi hujaandika kitu cha kunifanya nimchukulie Nikki km wewe unavyomchukulia
 
Lini ulomsikia Nikki wa Pili anajitangaza?? hivi katika wasanii wanaongea ongea unaweza ukamuweka na Nikki kweli??

Huyu mleta hili jungu (thread) atakuwa foreigner. Na wala hamjui Nikki vizuri.
Kwanza NIKKI ni msemaji wa kampuni ya Weusi.
Pili., Wewe Sunguratope utakuwa umemfaham Nikki kupitia thread 1wapo humu inayozungumzia Nikki kuchukua PhD.
Acha majungu na ushakunaku!
 
Last edited by a moderator:
Naona linalokutoa povu ni Phd pole sana nenda na wewe kaisake ungekuwa nayo povu lisingekumwagika acha roho mbaya.
 
wivu ni kidonda umeshiriki ugua pole
 
"Kuimba Muziki ni kazi ya Mungu, sitaki kazi ya mtu haki ya Mungu!" Nikki wa II
 
Nimesoma habari yako sijaona kosa la Nikki!
Labda analo kosa lakini hujaliandika na wala halionekana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…