Niki wa Pili unabonga sana

Niki wa Pili unabonga sana

English yako tu balaa, samahani umeunga na gundi gani?
 
Vibaya kusema uongo tu, kama kweli muache aseme.

This is the age of freedom of speech.

Usitake kufunga watu midomo bila sababu.
 
Sasa ulitaka kakake joh ajitangazie vipi wakati yeye ni form four leaver pale Arusha sec khaaa muacheni Nikki hata mwana fa wakat anasoma masters alikuwa anajitangaza sana
 
I see me looking as i see,
Nyeusi kwa bodaboda na my eyes I see,
Your girlfriend looking twice I see,
Na si makosa yangu I'm sorry aiseeh,
I see me internationally kila mtu anauhuru wa kuishi apendavyo bila kuvunja uhuru na sheria vp hupend maongez yake au demu wako kujua kuwa dogo anachukua Phd
 
asubuhi asubuhi unasambaza UMBEA!!
Ha haa haaah! acha atangaze si ame hustle bana. na mi nikiipata yangu ntaanzisha sledi ya kuitangaza.!
PH Diiiiiiiii!!:A S-rap:
 
Back
Top Bottom