GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
UPUUZI #1.
" Kama Viongozi wa Yanga wakibaini Azam FC ndio wanamdanganya Feisal Salum aende kwao basi tunawaomba Viongozi wetu wavunje ule mkataba wetu na Azam halafu na sisi mashabiki wa Yanga hatutanunua bidhaa zozote za Azam " - Wazee wa Yanga na Viongozi wa matawi Yanga.
UPUUZI #2.
Chadema: Tuna dhamira kushika dola 2025
Hovyo kabisa.....!!!!
" Kama Viongozi wa Yanga wakibaini Azam FC ndio wanamdanganya Feisal Salum aende kwao basi tunawaomba Viongozi wetu wavunje ule mkataba wetu na Azam halafu na sisi mashabiki wa Yanga hatutanunua bidhaa zozote za Azam " - Wazee wa Yanga na Viongozi wa matawi Yanga.
UPUUZI #2.
Chadema: Tuna dhamira kushika dola 2025
Hovyo kabisa.....!!!!