Nikiangalia comment za vijana wa kitanzania kuhusu maandamano ya Kenya ni kama mnatamani ila mnashindwa nani aanzishe. Msithubutu tuipende nchi yetu

Nikiangalia comment za vijana wa kitanzania kuhusu maandamano ya Kenya ni kama mnatamani ila mnashindwa nani aanzishe. Msithubutu tuipende nchi yetu

Kyambamasimbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
762
Reaction score
1,597
Habr wanjf. Ukweli nimekuwa nikufautilia kwa ukaribu siasa na uchumi wa Kenya, pia maono ya watu mbalimbali, kisaikolojia ukisoma comment nyingi inaonesha wazi vijana wengi wameshaanza kujiona wako tofauti na vijana wa nchi jirani au nchi zingine.

Hivyo imekuwa kama mfano halisi kwao. Naomba niwasihi vijana msijaribu kumfanya hivyo, Kila mtu ananjia yake ya kufanikiwa wenzetu wamezoea fujo sisi sio wao, tujitafakari.

Amani ya nchi yetu ni tunu yetu. Kamwe tusifuate njia potofu kudai haki. Naomba kuwasilisha.
 
Habr wanjf. Ukweli nimekuwa nikufautilia kwa ukaribu siasa na uchumi wa Kenya .pia maono ya watu mbalimbali, kisaikolojia ukisoma comment nyingi inaonesha wazi vijana wengi wameshaanza kujiona wako tofauti na vijana wa nchi jirani au nchi zingine. Hivyo imekuwa kama mfano halisi kwao. Naomba niwasihi vijana msijaribu kumfanya hivyo, Kila mtu ananjia yake ya kufanikiwa wenzetu wamezoea fujo sisi sio wao, tujitafakari. Amani ya nchi yetu ni tunu yetu. Kamwe tusifuate njia potofu kudai haki. Naomba kuwasilisha.
Harafu tuwe na msimamo mmoja tukikaa kimya wanatuita maiti tukianzisha vurumati tunaambiwa hatupendi nchi
 
Hili hata mimi nakubaliana nawewe. Babu aliharakisha akijua wakoloni weusi, wako kama yeye.
Nyerere alikuwa na mambo yake mengine, kukumbatia Ujamaa but kuwa fisadi hapana Babu wa watu.
Wapigania uhuru wengi wa africa walikua na ajenda zao binafsi na sio kuleta maendeleo ya kweli nchini mwao waliwadanganya wafrica wenzao wakatuingiza mkenge tukawafurusha wakoloni matokeo yake wametufikisha apa tulipo sasa.
 
Habr wanjf. Ukweli nimekuwa nikufautilia kwa ukaribu siasa na uchumi wa Kenya .pia maono ya watu mbalimbali, kisaikolojia ukisoma comment nyingi inaonesha wazi vijana wengi wameshaanza kujiona wako tofauti na vijana wa nchi jirani au nchi zingine. Hivyo imekuwa kama mfano halisi kwao. Naomba niwasihi vijana msijaribu kumfanya hivyo, Kila mtu ananjia yake ya kufanikiwa wenzetu wamezoea fujo sisi sio wao, tujitafakari. Amani ya nchi yetu ni tunu yetu. Kamwe tusifuate njia potofu kudai haki. Naomba kuwasilisha.
Wewe ndio wale mnaojaza uoga vizazi. Yes njia ni tofauti, kila mtu ana nanmna ya kutafuta solution but what happens when watu wale wale wana ignore needs za watu kwa kipinid kirefu?
 
Tanzania wazee wanalilia vifuani, kina mama wao ndo kabisaa wakipewa vi mkopo njaa kwishaa; mbaya zaidi vijana nao wanashinda mitandaoni bet mechi na uchawa wakidhani hayo mdiyo maisha yao pamoja na vizazi vyao vijavyo..
Huku wakiacha nchi ikiteketea...
 
Kenya maandamano ya pili hadi watu wazima wamejiunga na vijana kuandamana. Tz hakuna uzoefu wa kuandamana kibabe kama kenya. Mkuu wa mkoa akipiga mkwara asijitokeze mtu kuandamana atakabiliana na polisi, wote wanafyata mkia hakuna wa kuandamana
 
Back
Top Bottom