Nikiangalia comment za vijana wa kitanzania kuhusu maandamano ya Kenya ni kama mnatamani ila mnashindwa nani aanzishe. Msithubutu tuipende nchi yetu

Vijana wa Tanganyika wana akili kuliko hao vijana wa Kenya wao kazi kuiga mambo yako wazungu. Hayo mamumbumbu ya Kenya yaendelee kulivuruga taifa lao ili Tanganyika tuwapige Gap kwenye uchumi.
Wewe ndo ujielewi sasa.Hicho wanachokipigania wakenya kitakuja kuwalipa mara elfu kuliko wewe kichwa kondoo uliyeinamisha kichwa chini.Hakuna mabadiliko ya kweli yanayoweza kuja bila kutoleana macho.Toka tumekua na huu utulivu kama nikuwapita kiuchumi ilitakiwa tuwe mbali sana ila tumeshindwa kwasababu ya huu ukondoo uliopo wakati huo tuna kila kitu kuzidi wao.
 
Kabla ya watu kufika uko unatakiwa ujiulize sababu ni ipi.Wakenya sio wajinga kiasi hicho chakuwafanya wawe na madai ambayo hayana maana.Wakulaumiwa ni wale wenye dhamana yakufanya vizuri alafu hawafanyi.na hiyo inaweza kutokea popote.
 
Ko tukichekea mambo ya kipuuzi ndio tunakuwa tumeipenda nchi yetu
Nchi itauzwa hii na sisi tupo kimya kisa tunaipenda
 
Bongo ukianzisha timbwili kesho utaokotwa msitu wa PANDE.
 
Tunu inaharibiwa na mafisadi wachache usidanganye watu tafadhali hatuwezi kuvumilia tozo kandamizi siku zote halafu wananeemeka watu wachache kwa nini tabaka tawala halizisikii hizi kelele za walala hoi?!
 
Punguza uoga na uchawa
 
Tanzania hakuna amani kuna ujinga na wonga wa watanzania ndio maccm wanaita amani. Nchi gani yenye amani watu wanaokotwa kwenye fukwe za bahari wakiwa kwenye magunia . Na hakuna uchunguzi wanakwenda kuzikwa na serikali? Nchi ambayo raisi anauza bandari bila hata kushauriana na yoyote ! Amani gani watu wanakufa hospitalini kwa kukosa hela za kulipia matibabu?yaani mtu anaye ishi smalia ana amani kuliko mtanzania.
 
Huyo babu yenu alikua na kiherehere tu, huyo ndo katuset vibaya as a country
Stupid idiot. Alikuset kwenye nini wewe mjinga?. Kwani unamlaumu mtu aliyestaafu mwaka 1985?. Mkiambiwa Katiba mpya mnakataa, mmebaki kulaumu watu. Stupid idiot, unashindwa kuwa sehemu ya mabadiliko umebaki kulalama.
 
Vijana wa Tanganyika wana akili kuliko hao vijana wa Kenya wao kazi kuiga mambo yako wazungu. Hayo mamumbumbu ya Kenya yaendelee kulivuruga taifa lao ili Tanganyika tuwapige Gap kwenye uchumi.
Stupid idiot, chawa mkubwa.
 
Vijana wa Tanganyika wana akili kuliko hao vijana wa Kenya wao kazi kuiga mambo yako wazungu. Hayo mamumbumbu ya Kenya yaendelee kulivuruga taifa lao ili Tanganyika tuwapige Gap kwenye uchumi.
Vijana gani?. Kenya vijana walitafisiri muswada wa bajeti kwa Lugha 20 za makabila mbalimbali ya nchi ya Kenya, Vijana wa Tanzania hata utangulizi tu wa bajeti hawajui.
 
Wewe ni mfano wa vijana wa kitanzania. Asimilia 99 ya Vijana wa kitanzania hawajui bajeti inaongelea Nini . Kijana wa Tanzania hata sentensi ya utangulizi kwenye bajeti hawajui. Ila vijana Wakenya wametafsiri bajeti yao kwa Lugha zaidi ya ishirini ili kila mtu aisome na kuielewa. Nani mwerevu na nani mjinga.
 
Wana mihemko.

Tanzania hailei ujinga mtafyekwa wote,waulizeni.kina Lipumba,Maalim seif,sijui Wadai gesi ya mtwara na wale wa Zanzibar na Mwembe Yanga.

Tanzania ni Nchi ya kijamaa sio ya kijinga kama hizo,msije kuthubutu
Usidhubutu mwenyewe. Naona hata zile 4Rs mmezikataa. Wanafiki wakubwa. Ndio maana mnakufa kwa aibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…