Nikiangalia comment za vijana wa kitanzania kuhusu maandamano ya Kenya ni kama mnatamani ila mnashindwa nani aanzishe. Msithubutu tuipende nchi yetu

Yaani tumwache mwigulu na majaliwa wameliki timu za Mpira wakati mshahara wao ni mil 5
 
UVCCM katika ubora wqko πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yaani tumwache mwigulu na majaliwa wameliki timu za Mpira wakati mshahara wao ni mil 5
Wale ni wezi tuu especially Mwigulu Hana hela yeyote ya halali zaidi ya wizi, majaliwa Sina uhakika kama ni mwizi sitaki kumsingizia
 
Bado kitambo kidogo tu ,,, huu ujinga unaoendelea hapa nchini Tz !! Amini nakwambia wimbi la vijana wasio na ajira wanajitafuta alafu wanakutana na ukiritimba mkubwa na manyanyaso ya serikali na baadhi ya viongozi kujilimbikizia mali,

Vijana Hawa wamekata tamaa hawaioni kesho Yao , wanaona Nuru ya maisha ikizidi kuzima ,wanajaribu kufanya hiki au kile wanakutana na sera mbovu za serikali

Nakuhakikishia Siku hisia zao zikiamka zikiwaka moto vijana Hawa wakasema poohhh ,,, ya Kenya Cha mtoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…