Nikiangalia picha za viongozi wa serikali mashambani kwao weekend, nakumbuka mashamba ya Mbowe yaliyovamiwa na wanasiasa wakaua mimea isiyo na hatia

Nikiangalia picha za viongozi wa serikali mashambani kwao weekend, nakumbuka mashamba ya Mbowe yaliyovamiwa na wanasiasa wakaua mimea isiyo na hatia

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Binadamu ana tabia yakuona kitu flani kikamkumbusha Jambo fUlani la aina hiyo lililowahi kutokea miaka ya nyuma.

Leo hii nikawaida kuona wanasiasa na baadhi ya viongozi wakisiasa wakipiga picha na kuposti wakiwa kwenye mashamba yao.

Picha hizi unanifanya nijiulize hivi akienda mtu akaondoa mifumo ya umwagiliaji na kuua mazao waliyopanda watajisikiaje?

Leo uvamie shamba kiongozi flani aliloandaa kwa kustaafu au kwa mkopo uliaribu atajisikiaje? Hizi feeling unipeleka Moshi nakukumbuka matendo ya kamati ya ulinzi na usalama dhidi ya Mali za Mhe. Mbowe na familia yake kisa mtaji wakisiasa.

Tunachomshukuru Muumba ni kwamba waliotenda Yale wana waisha duni kuliko hata mhe mwenyewe. Tujifunze kuacha kudhulumu haki ya mtu kisa wewe upo madarakani kwa sababu hata akirudi nyuma wewe hautakwenda mbinguni. Pole familia zote zilizodhulumiwa haki na watawala, ipo siku wataondoka kwenye viti vyao.
 
Mbowe is not a good strategist!!! He could be more powerful and helpful to the party outside of the helm of Chadema than clinging to the Chairmanship where he is the main target of the rulers!
Angetoka hadi sasa najua Leprofesor angekuwa ameacha chama chake na kukabidhiwa chama mwiba kwa mtawala ili afanye yake kwa msaada wowote atakao hitaji kukizika chama mwiba
 
Armstadam afungue kesi ya kuharibiwa kwa mbogamboga za Mbowe[emoji23]
Alafu Lisu katibu mkuu wa UN akazie[emoji23]

Au Bavicha mnaonaje?
 
Tunachomshukuru Muumba ni kwamba waliotenda Yale wana waisha duni kuliko hata mhe mwenyewe. Tujifunze kuacha kudhulumu haki ya mtu kisa wewe upo madarakani kwa sababu hata akirudi nyuma wewe hautakwenda mbinguni.... Pole familia zote zilizodhulumiwa haki na watawala, ipo siku wataondoka kwenye viti vyao.


Where is my old friend Sir buyer!?
 
Armstadam afungue kesi ya kuharibiwa kwa mbogamboga za Mbowe[emoji23]
Alafu Lisu katibu mkuu wa UN akazie[emoji23]

Au Bavicha mnaonaje?
Tunakumbuka ulivyoshangilia wakati ule na hata leo unavyofurahia.
 
Ndio maana yameshindwa kudeliver yamebaki kujaza vyoo tu
 
Angetoka hadi sasa najua Leprofesor angekuwa ameacha chama chake na kukabidhiwa chama mwiba kwa mtawala ili afanye yake kwa msaada wowote atakao hitaji kukizika chama mwiba

Akiwa mzee wa chama atakuwa na influence kwenye decision making process bila ya kurushiwa mishale wanayo mrushia sasa na hivyo chama kitaweza kuelekeza nguvu zake kwenye masuala mengine!!
 
Back
Top Bottom