Laana ya kukata mmea ambao bado haujazaa na ambao hujaupanda wewe ni mbaya mbaya sana, Katika ulimwengu wa roho mimea ni viumbe vya Mungu - kwa hiyo hao jamaa waliofyeka hiyo bustani pamoja na aliyewaagiza laana ishawabamba tayari, fuatilia mwenyewe.