Kipi kilichokwama?
Uchaguzi umeisha mwezi october2020, na leo ni january 2021.
Au mmekosa sera na kuchanganyikiwa?
Bunge jipya halijakaa hata kikao kimoja!
Chadema mmepoteana na mahali pekee mnapojifariji kwa sasa ni mitandaoni tu.
Poleni sana.
View attachment 1683846