Nikiangalia rekodi za Askofu Gwajima napata mashaka kuamini hichi anachokizungumza leo

Nikiangalia rekodi za Askofu Gwajima napata mashaka kuamini hichi anachokizungumza leo

Hauna tofauti na Gwajima. Birmingham ni Jiji lililopo Jefferson County Marekani. Hamna kitu kama Birmingham county au Birmingham State ya Gwajima. Tumia mtandao kwa kujielimisha. Google tu Birmingham USA utapata jibu. Sio dhambi kukiri kuwa ulikosea. Wote huwa tunakosea na tunaposahihishwa tunakubali. Ndio uungwana.

Amandla...
Kabla sijasahau aliwaahidi pia mazezeta wake anajenga jengo lenye ukubwa wa mita 300, na kuwasisitizia (viwanja vya mpira vitatu) [emoji38][emoji38][emoji38] mazezeta yake yanashangilia tu! Hilo jengo liko wapi au anawajengea mbinguni?
Birmingham my foot!
 
Hauna tofauti na Gwajima. Birmingham ni Jiji lililopo Jefferson County Marekani. Hamna kitu kama Birmingham county au Birmingham State ya Gwajima. Tumia mtandao kwa kujielimisha. Google tu Birmingham USA utapata jibu. Sio dhambi kukiri kuwa ulikosea. Wote huwa tunakosea na tunaposahihishwa tunakubali. Ndio uungwana.

Amandla...
Birmingham USA ni jimbo hakuna anaekataa, UKBirmingham ni mji...Nataka uniambie mkazi gani wa Kawe ameshapelekwa huko??
 
Mkuu bado haiondoi ukweli County kwa kiswahili ni jimbo kama kawe, Kawe ni jimbo na ndio maana uchaguzi wetu unafanyika kwa majimbo kwa ajili ya kupata wawakilishi wa majimbo katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hujajibu swali, ni mkazi gani wa kawe unaemjua hadi sasa hivi ameshafikishwa Birmingham? Au mkazi gani wa Birmingham aliyeletwa kawe kama alivyosema Gwajima?
Wale wavuvi vipi walishafunguliwa chuo cha uvuvi? Na vipi vile vitendea kazi walishapatiwa?
Gwajima ni muongo tu kama waongo wengine, alichojaaliwa yeye ni kipaji cha kuwaongopea mazezeta yake yanayomuamini na kumuona kama Mungu mtu. Mkesha wa mwaka 2016 aliwaambia mazezeta wake ameshanunua treni na itaanza kuchukua watu, mazezeta yake yakamshangilia sana iko wapi hiyo treni au imekosa njia ya kupita?
Birmingham my foot

Hamna county ya Birmingham Marekani au Uingereza.

Gwajima kweli ni muongo. Tena sana.


Amandla...
 
Birmingham USA ni jimbo hakuna anaekataa, UKBirmingham ni mji...Nataka uniambie mkazi gani wa Kawe ameshapelekwa huko??

Kweli wewe ni mzito wa kuelewa. Birmingham USA ni Jiji sio jimbo. Jiji hilo liko kwenye County ya Jefferson. Hamna county ya Birminham USA.

Hilo la wakazi wa Kawe angeulizwa mbunge waliomchagua kwa kishindo kikubwa. Wangemuuliza pia kama ameishaagiza Ambulance ngapi za kugawa kwa kila tarafa.

Amandla...
 
Kweli wewe ni mzito wa kuelewa. Birmingham USA ni Jiji sio jimbo. Jiji hilo liko kwenye County ya Jefferson. Hamna county ya Birminham USA.

Hilo la wakazi wa Kawe angeulizwa mbunge waliomchagua kwa kishindo kikubwa. Wangemuuliza pia kama ameishaagiza Ambulance ngapi za kugawa kwa kila tarafa.

Amandla...
Liwe jimbo liwe jiji watajua wenyewe! Jibu swali ni mkazi gani wa Kawe aliyekwisha pelekwa huko?!
 
Huyo jamaa mnayemuita askofu ni mpuuzi ni mazezeta peke yake ndio wanaweza kumuamini huyo mtu.
 
Liwe jimbo liwe jiji watajua wenyewe! Jibu swali ni mkazi gani wa Kawe aliyekwisha pelekwa huko?!

Swali hilo ungemuuliza Gwajima. Kutokana na adhabu yake, atakuwa anapatikana kirahisi tu kanisani kwake. Mfuate huko ukamuulize.

Amandla...
 
Nilichojifunza hapa dunia watu werevu wenye ujasiri na wapumbavu wenye ujasiri hawatofautiani.

Wenye uelewa mdogo tunabaki kuyumbishwa na hayo makundi mawili. Bila kujua nani mpumbavu na yupi mwerevu mpaka tunapodhurika.

Ila Gwajima ameishajionyesha ujasiri wake unaanza kupungua soon atajulikana ni pumbafu au elevu.
 
Wivu tu...

Wakati nyie mnapanga foleni kwenda kichwanja, wenzenu wana-Kawe Jtano tunapanga foleni kupata uteuzi wa kwenda Japan kujifunza mambo ya uvuvi!!

Hapa chini, ni kisa cha mtoto Joyce!! Joyce kapewa kazi darasani, hakufanya vizuri! Mwalimu akamwambia arudie. Wakati akiwa peke yake Joyce akaanza kurudia ile kazi, lakini alipoinama wakati anaandika, Joyce akafa!!!

Mama wa Joyce haku-panic wala nini!!! Una-panic vipi wakati Daslam tuna Mtumishi wa Bwana mwenye uwezo wa kufufua wafu!!!

Ilipofika Jpili, mama huyoooo kwa Mtumishi akiwa na mwili mfu wa Joyce!! Wacha Mtumishi wetu afurahie kuletewa maiti! Ni lipi basi lililo bora kwa Mtumishi kuzidi hili la kumfufua binti mdogo?!

Kwa jina la Bwana, Mtumishi akanena kwa lugha, mara hee... Joyce huyoo! Kafufuka!!




Semeni ALLELUJAH... Bwana Alitoa! Bwana Akatwaa! Bwana Akarejesha!!!

Aisee hii ya kufufua ni level nyingine. Eti mimi watu wa kufa kufa ndiyo nawapenda! Na ndondocha zinashangilia kila aina ya uongo unaomtoka kinywani.
 
Aisee hii ya kufufua ni level nyingine. Eti mimi watu wa kufa kufa ndiyo nawapenda! Na ndondocha zinashangilia kila aina ya uongo unaomtoka kinywani.
Shida misukule kurudi kuwa binadamu wa kawaida sio rahisi! Ameshawageuza misukule kila anachowaambia wanakubali tu! Lipi kafanya akafanikiwa!?
 
View attachment 1886541
kusema ukweli Askofu Gwajima amekua na tabia ya kuzikana kauli zake anazozungumza, hii inanipa shida sana kuamini kama hiki anachokisimamia leo hatakikana,
hebu tufuatilie kidogo hizi clips fupi fupi sana
View attachment 1886539

hapa askofu alizungumza wazi wazi mbele ya waumini wake na kutuhumu dini za watu lakini baadae aliyakana maneno yake
View attachment 1886546

hapa aliwahaidi wananchi wa kawe kwenda jimbo la Birmingham marekani na wananchi wa Birmingham kuja kawe
View attachment 1886548

View attachment 1886550
View attachment 1886552

sina hakika kama huyu mtu anaweza kuaminiwa,
Gwajima is one of the many FAKE prophets pointed out in the Holy Bible. In the King James Version of the Bible the text reads: BEWARE OF FALSE PROPHETS, WHICH COME TO YOU IN SHEEP'S CLOTHING, BUT INWARDLY THEY ARE RAVENING WOLVES (Matthew 7:15).
 
Shida misukule kurudi kuwa binadamu wa kawaida sio rahisi! Ameshawageuza misukule kila anachowaambia wanakubali tu! Lipi kafanya akafanikiwa!?
Kweli kabisa. Watanzania wengi wamegeuzwa misukule na Gwaji boy; kila jambo la kipuuzi analowaambia, wanamkubali kama mazuzu wasikuwa na akili hata chembe. Wapuuzi wakubwa!
 
Wivu tu...

Wakati nyie mnapanga foleni kwenda kichwanja, wenzenu wana-Kawe Jtano tunapanga foleni kupata uteuzi wa kwenda Japan kujifunza mambo ya uvuvi!!

Hapa chini, ni kisa cha mtoto Joyce!! Joyce kapewa kazi darasani, hakufanya vizuri! Mwalimu akamwambia arudie. Wakati akiwa peke yake Joyce akaanza kurudia ile kazi, lakini alipoinama wakati anaandika, Joyce akafa!!!

Mama wa Joyce haku-panic wala nini!!! Una-panic vipi wakati Daslam tuna Mtumishi wa Bwana mwenye uwezo wa kufufua wafu!!!

Ilipofika Jpili, mama huyoooo kwa Mtumishi akiwa na mwili mfu wa Joyce!! Wacha Mtumishi wetu afurahie kuletewa maiti! Ni lipi basi lililo bora kwa Mtumishi kuzidi hili la kumfufua binti mdogo?!

Kwa jina la Bwana, Mtumishi akanena kwa lugha, mara hee... Joyce huyoo! Kafufuka!!




Semeni ALLELUJAH... Bwana Alitoa! Bwana Akatwaa! Bwana Akarejesha!!!

Huyu 'askofu' tapeli mkubwa sana.
 
Wivu tu...

Wakati nyie mnapanga foleni kwenda kichwanja, wenzenu wana-Kawe Jtano tunapanga foleni kupata uteuzi wa kwenda Japan kujifunza mambo ya uvuvi!!

Hapa chini, ni kisa cha mtoto Joyce!! Joyce kapewa kazi darasani, hakufanya vizuri! Mwalimu akamwambia arudie. Wakati akiwa peke yake Joyce akaanza kurudia ile kazi, lakini alipoinama wakati anaandika, Joyce akafa!!!

Mama wa Joyce haku-panic wala nini!!! Una-panic vipi wakati Daslam tuna Mtumishi wa Bwana mwenye uwezo wa kufufua wafu!!!

Ilipofika Jpili, mama huyoooo kwa Mtumishi akiwa na mwili mfu wa Joyce!! Wacha Mtumishi wetu afurahie kuletewa maiti! Ni lipi basi lililo bora kwa Mtumishi kuzidi hili la kumfufua binti mdogo?!

Kwa jina la Bwana, Mtumishi akanena kwa lugha, mara hee... Joyce huyoo! Kafufuka!!




Semeni ALLELUJAH... Bwana Alitoa! Bwana Akatwaa! Bwana Akarejesha!!!

Hizi sanaa nyingine !. Hata mtoto wa darasa la pili anashtukia dili!.
Maiti ya several days inaweza kukalishwa vile kwenye kiti?!.
Kama ni kweli ana uwezo wa kufufua kwanini asimfufue yule naniliu ?!.
P
 
Hizi sanaa nyingine !. Hata mtoto wa darasa la pili anashtukia dili!.
Maiti ya several days inaweza kukalishwa vile kwenye kiti?!.
Kama ni kweli ana uwezo wa kufufua kwanini asimfufue naniliu ?!.
P
Mkuu Mayala hii imetoka kwako kweli?!
Nimeangalia ID mara mbili mbili!
 
View attachment 1886541
kusema ukweli Askofu Gwajima amekua na tabia ya kuzikana kauli zake anazozungumza, hii inanipa shida sana kuamini kama hiki anachokisimamia leo hatakikana,
hebu tufuatilie kidogo hizi clips fupi fupi sana
View attachment 1886539

hapa askofu alizungumza wazi wazi mbele ya waumini wake na kutuhumu dini za watu lakini baadae aliyakana maneno yake
View attachment 1886546

hapa aliwahaidi wananchi wa kawe kwenda jimbo la Birmingham marekani na wananchi wa Birmingham kuja kawe
View attachment 1886548

View attachment 1886550
View attachment 1886552

sina hakika kama huyu mtu anaweza kuaminiwa,
Hata Kikwete aliwahi kuwaidi Maisha bora kila Mtanzania, lakini mpaka anatoka madarakani ilikuwa Maisha bora kwa Mafisadi,acha kutegemea maneno ya wanasiasa utakufa masikini,hata akina Mbowe walisha wahi kutuambia kuwa awawezi kuumpa fisadi nafasi kugombea kiti cha urais kupitia chadema, mwisho wa siku walipopata mshiko wakageuka, mwanasiasa anajali maslahi yake
 
Back
Top Bottom