Nikianzisha Salon Maalum Ya Kunyoa Nywele Za SIRINI Nitapata Faida?

Nikianzisha Salon Maalum Ya Kunyoa Nywele Za SIRINI Nitapata Faida?

Gentamycine mbona zipo.wanaita laser hair removal,vuzi linatolewa mwaka mzima ndo linatoka level ya kunyoa tena...
Km thieta vile

hyo ya kunyoa then zinaota baada ya mwaka hyo dawa naitaka niifanyie kwenye ndevu,maana hizi ndevu nanyoa saa2 saa10 zmeshaota
 
Mkuu hiyo biashara ni nzuri sana na ina faida mm niliifaya kwa takribani miezi nane ila ilikuwa ni kwa wanawake tu na nilianzia kwa wanafunzi wa chuo mnamo miaka mitatu iliyopita.
Sikuwa na saloon wala jengo mm nilikuwa natembea na vifaa vyangu kwenye begi mtu akinihitaji alikuwa akinipigia simu,naenda kumuhudumia nikimaliza naondoka japo ilikuwa inavishawishi sana,baadae soko lilikuwa nikawa naitwa hadi majumbani na wake na mademu za watu nawapa huduma hiyo.
Kutokana na majukumu kuongezeja niliiacha hiyo kazi japo mpaka leo kuna wadada bado wananitafuta niwape huduma,kila kichwa nilikuwa nafanya kwa Tsh.20000 na mteja anaweza niita tena baada ya miezi miwili,so inalipa.
Noma
 
Aiseeh first tym ilikuwa inanisumbua sana hasa jogoo kukaza karibu usiku mzima pia unakuta tupu nyingine zina harufu kali so ilikuwa nikijiandaa kwenda kwa mteja namwambia ajiandae kujisafisha na pia lilikuwa navaa gloves na mask kama zile za madaktari,pia nilipozizoea kuziona papuchi haikunipa tena shida.
shida nyingine ni kusumbuliwa na wateja wanakuita kama wanataka huduma kumbe wanataka kwichikwichi.
Wateja wakubwa walikuwa wadada wa ustawi,cbe,tia na ud

Shikamoo!
 
Usishangae mkuu,ujue umaskini huleta changamoto ya ubongo,ilikuwa ni njia ya kujikwamua tu.Now utaalamu wangu huo anaufaidi ninaye shea nae vikojoleo tu tena bure[emoji6]

Siku Hizi Haviitwi Vikojoleo Bali Vinajulikana Kama Viungo Korofi.
 
Kama ntahudumiwa na jinsia tofaut na mim sawa
 
najaribu kuwaza tu kwa wenzetu ambao wako kwenye ndoa. sasa wife mara ya mwisho asubuhi unapita pale unyasi ulikuepo tu wa kutosha. siku nzima kashinda ofisini na unalijua hilo. sasa jioni mara unapita pale tena unakuta peupee tena laiini, kwa, sura yenye mchanganyiko wa mshangao na furaha unamwuliza "sweetie umenyoa saa ngapi?" anakujibu nimepita saluni kuna kijana anaitwa GENTAMYCINE ana saluni nzuri ndo kaninyoa. teh teh teh kinachofata hapo sijui nini.!
 
najaribu kuwaza tu kwa wenzetu ambao wako kwenye ndoa. sasa wife mara ya mwisho asubuhi unapita pale unyasi ulikuepo tu wa kutosha. siku nzima kashinda ofisini na unalijua hilo. sasa jioni mara unapita pale tena unakuta peupee tena laiini, kwa, sura yenye mchanganyiko wa mshangao na furaha unamwuliza "sweetie umenyoa saa ngapi?" anakujibu nimepita saluni kuna kijana anaitwa GENTAMYCINE ana saluni nzuri ndo kaninyoa. teh teh teh kinachofata hapo sijui nini.!

Ha Ha Ha Ha Ha Ha Ha........!
 
Nakumbuka kuna hostel moja ipo mitaa ile ya sabasaba ya wanafunzi wa TIA wanaume waliniweka kati kidogo nile kipondo baada ya kujua kazi ninayofanya ilibidi mteja wa mitaa hiyo akiniitaji anaomba funguo kwa mwenzake anayekaa huku kurasini naenda toa huduma.
 
Weka mashine ambazo ni self-controlled ....

Wewe unakaa nje, Mimi naingia ndani mashine inaninyoa yenyewe
 
I
Aiseeh first tym ilikuwa inanisumbua sana hasa jogoo kukaza karibu usiku mzima pia unakuta tupu nyingine zina harufu kali so ilikuwa nikijiandaa kwenda kwa mteja namwambia ajiandae kujisafisha na pia lilikuwa navaa gloves na mask kama zile za madaktari,pia nilipozizoea kuziona papuchi haikunipa tena shida.
shida nyingine ni kusumbuliwa na wateja wanakuita kama wanataka huduma kumbe wanataka kwichikwichi.
Wateja wakubwa walikuwa wadada wa ustawi,cbe,tia na ud
like it
 
Nimetafakari Sana Kuwa Kwa Jinsi Watanzania Tulivyo Busy Na HARAKATI Za KIMAISHA Iwe Kwa WANAUME Na WANAWAKE Hali Inayopelekea Wengi Wenu ( Mimi Simo ) Kukosa Muda Kabisa Hata Wa Kunyoa NYWELE ZENU ZA SIRINI a.k.a Mavuzi.

Hivyo Katika Mapambano Yangu Ya Kutumia FURSA Na Baada Ya Kugundua Watu Wengi Ni WAVIVU Kunyoa Nimeona NIANZISHE SALON MAALUM Kwa KUNYOA HIZO NYWELE ZA SIRINI Ambapo Nitaweka Mazingira Mazuri Ambayo Yatamfanya MNYOLEWAJI Asijisikie Vibaya Na Badala Yake Avutiwe Na Aje.

Hivyo Basi Naomba Kuuliza:

  • Je Hili WAZO BIASHARA Ni Zuri?
  • Je Nitapata FAIDA Ya Haraka?
  • Je Kile Kibao Cha SALON Ya Aina Hii Nikiandike Vipi?
  • Je Nichukue TAHADHARI Gani / Ipi Labda Kutoka Kwa WATEJA Watakaokuwa Wanakuja?
  • Je Nianze Na Wafanyakazi Wangapi Na Wengi Wawe Wa Jinsia Gani / Ipi?
  • Je Niwe Natoza Fixed Price au Kulingana Na Aina Ya PORI ( Nywele ) Za Mteja Za Sirini?
  • Je Wafanyakazi Wangu Watakuwa Wanapata CHANGAMOTO Gani Labda?
Karibuni Katika Kunipa Mawazo Na Nitawashukuruni Mno Kwani Sasa Nimeamua Kuwa MJASIRIAMALI NILIYETUKUKA Na Nimeona Kuna FURSA Nzuri Hasa NIKIJIKITA Katika Biashara Hii Ya Unyoaji NYWELE ZA SIRINI.
Mkuu vipi biashara ulisha ianza, nikuletee wateja[emoji6]
 
Back
Top Bottom