Planet FSD
JF-Expert Member
- Oct 24, 2019
- 455
- 948
Mkuu ulisema ASIITUMIE kama yupo katika mbio, sasa atumie nini?Namna unavyoikanyaga mkuu.
Unakuta upo 29km/hr unaikanyaga kama unafukuzwa. Iache gari ichukue kasi taratibu kwa kuzingatia rpm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ulisema ASIITUMIE kama yupo katika mbio, sasa atumie nini?Namna unavyoikanyaga mkuu.
Unakuta upo 29km/hr unaikanyaga kama unafukuzwa. Iache gari ichukue kasi taratibu kwa kuzingatia rpm
Cheza na Engine Rotation isizidi 3,000, jitahidi uiche gari iongeze mwendo yenyewe.....ndio mtazamo wangu huoWakuu nisaidieni kuelewa kitu nikiendesha gari inakula mafuta sana tofauti na mtu mwingine akiendesha gari hiyo hiyo, Nashidwaa kuelewa ni nakanyaga vibaya pedel ya mafuta au kuna kitu nakosea, msaada wenu wakuu.
Very professional reply!! Uko Speed 60 huku RPM Iko 3000 lazima itakutesaInawezekana. Driving behavior inachangia sana. Inawezekana una accelerate kwa haraka mno, unafunga brake hovyo hovyo, una spidi za hatari nk. Ile rpm huangalii.
Jitahidi kupangilia uendeshaji wako.
Jitahidi ucheze between 80 to 100 km speed. Rpm ya around ya 2 inatosha.
Kwa dar 2000 rpm zinatosha kabisa, labda kama unapanda kilima ndo unaweza sogea mpaka 3000. Sema huyu usikute ana subaru impreza zile hatchback. Accelerator nyepesiiiiii na ukiweka economy mode inakuwa very slow causing one to press harder on the accelerator pedal.Cheza na Engine Rotation isizidi 3,000, jitahidi uiche gari iongeze mwendo yenyewe.....ndio mtazamo wangu huo
Yaani huo mlima labda awe na bonge la mzigo ndio aifikishe huko 3,000! Ni driving behavior tu ndio inayomtesa! Gari Haina shidaKwa dar 2000 rpm zinatosha kabisa, labda kama unapanda kilima ndo unaweza sogea mpaka 3000. Sema huyu usikute ana subaru impreza zile hatchback. Accelerator nyepesiiiiii na ukiweka economy mode inakuwa very slow causing one to press harder on the accelerator pedal.
Unatakiwa uwe soft foot dont be too hard on gas!Wakuu nisaidieni kuelewa kitu nikiendesha gari inakula mafuta sana tofauti na mtu mwingine akiendesha gari hiyo hiyo, Nashidwaa kuelewa ni nakanyaga vibaya pedel ya mafuta au kuna kitu nakosea, msaada wenu wakuu.
Kasome PGO uelewe hahahahaMkuu ulisema ASIITUMIE kama yupo katika mbio, sasa atumie nini?
Asante sana mkuu nimeijaribu hii idea leoUnatakiwa uwe soft foot dont be too hard on gas!
Sikilizia mapigo ya engine..kanyaga softly gari itabadili gears haraka haraka na itakamata kasi bila shida.
Maintain RPM below 2000 Revolutions Per Minute. Hakikisha unapokanyaga mshale hauvuki namba 2 gari ibadili gear smoothly.
Ukigandamiza mguu gari ikavuka zaidi ya 2 RPM inashikilia gear moja mda mrefu inahisi iko mlimani au unataka overtake,,,kumbe iko tambarare tu hili kosa wengi hufanya baada ya kupanda tuta na kushuka.
Ukiweza maintain below 2 utanipa majibu namna gari inavyokula vizuri
Mita cha he mbele unakata kona kuingia nyumbani, mguu bado upo kwenye mafuta, unafika kwenye kona ndio unapiga break......hapo vipi?Khaaa🤣🤣🤣aisee hii nchi ngumu sana? Sasa atumie nini kuaccelerate? Handbrake au?
Sasa wewe hata kushuka mlima kitonga unashuka huku mguu umekanyaga mafuta unategemea nini?Asante sana mkuu nimeijaribu hii idea leo
imefanya kazi nashukuru kwa ushauri
OKOA MATUMIZI YAKO YA PETROL NA DIESEL.
TUNASAFISHA MASS AIR FLOW SENSOR (MAF SENSOR)
SABABU ILIYOJIFICHA GARI YAKO KUTUMIA MAFUTA ZAIDI NA MATATIZO MENGINE
Wasiliana na mimi +255788624499 nikusafishie Mass Air Flow (MAF) senso.
Soma zaidi...
Dalili za MAF sensor inahitilafu ni,
1. Engine ni ngumu kuwasha.
2. Engine inazima muda mfupi baada ya kuwaka.
3. Engine inasitasita au kuvuta ikiwa na mzigo au ikiwa imepark bila kuzimwa.
4. Kusitasita na kutetemeka wakati wa kuongeza kasi.
5. Engine inapata "kwikwi"
6. Kuvuma sana ama kutetemeka kwa gari wakati imesimama.
7. Gari kuwa na missi
8. Code za P0100 hadi P0103, P0171, P0172 na P0300 kwenye diagnostic check up.
Inashauriwa kusafisha MAF sensor ya gari lako angalau kila unapobadili Air filter. Lakini kama ukiweza ni vizuri zaidi kuisafisha MAF sensor kila wakati unapoisafisha Air cleaner ya gari lako.
Ikumbukwe kwamba MAF sensor ndiyo inayodetect kiasi cha hewa kinachoingia kwenye engine ya gari lako na kuna sensor Intaken Air Temperature (IAT) yenye kupima nyuzi joto ya hewa inayoingia kwenye engine, hivyo MAF sensor inapokuwa chafu inaweza kupelekea control box (ECU) ikapiga vibaya hesabu ya mafuta na hivyo kupelekea ama gari yako kutumia mafuta mengi kuliko kawaida au gari yako kuchoma hewa nyingi kuliko kawaida.
Kama gari ikichoma mafuta mengi kuliko kawaida(Rich condition) inaweza kupelekea yafuatayo.
1. Gari yako itatumia mafuta mengi na hivyo utaingia gharama kubwa.
2. Mafuta hayataungua yote hivyo utakuwa unachafua mazingira.
3. Kuziba kwa catalytic converter kwa sababu ya mafuta kuendelea kuungua yakiwa katika bomba la moshi. Ikishaziba hutoweza kuendesha gari lako.
4. Kutengenezwa kwa kaboni kwenye valves na pistons
5. Kuisha sehemu mbalimbali za engine yako kwa sababu mafuta yatakuwa yanaosha kuta za cylinders na kudilute oil hivyo kupelekea kuisha kwa bearings na muda mwingine engine yako kufeli.
6. Gari kuwa na nguvu kidogo.
7. Gari kutetemeka ama.kuwa na dalili kama kwikwi ukiendesha
8. Gari kukosa nguvu ukiwasha AC
Na mengine mengi.
Kama gari yako ikichoma hewa nyingi kuliko kawaida(lean condition) inaweza kupelekea yafuatayo.
1. Gari kuwa na nguvu kidogo.
2. Kuzalishwa kwa Nitrogen dioxide kwa sababu ya joto kali na hivyo kuchafua mazingira.
3. Engine knocking ambayo huletwa na detonation na hivyo kufanya engine kupiga sana kelele.
4. Kuharibika kwa parts mbalimbali za gari lako kwa sababu ya kuknock kwa engine.
5. Na mengine mengi.
Hivyo kwa harakaharaka ukiyaangalia yote mawili unaona hakuna jema kwa sababu yote mawili yanaweza kukuharibia engine ya gari lako
Kama utaamua kutumia solution nyingine tofauti na zilizotambulika katika kusafisha MAF sensor yako basi fanya at your own risk. Na itapendeza kama utakuwa na MAF sensor mpya ya akiba pembeni sababu hiyo unayoisafisha inaweza ikafa na gari yako isiwake mpaka uweke MAF sensor nyingine. Pia katika kusafisha huwa tunatumia sprayer. Tunapulizia kwenye heating element ya sensor yako pamoja na kwenye wavu wa housing la sensor yako kama ina wavu.
Pia haishauriwi kabisa kugusa heating element ya MAF sensor. Ni moja kati ya sensors ambazo ni delicate sana. Na kama ikiharibika ni vizuri kununua mpya kuliko used kwa sababu hiyo used huwezi kujua waliihandle vipi wakati ilipokuwa dukani.
Wasiliana na mimi +255788624499 Whatsapp.
Kusafisha ni dakika 5-10
WASILIANA NASI +255788624499 WHATSAPP.
Sababu za MAF sensor kutokufanya kazi mara nyingi ni sababu ya vumbi inayopita kwenye MAF sensor kutokea kwenye air cleaner, kifaa hicho kinaweza hata kuganda vumbi na kuleta hitilafu tofaut ikiwemo gari kutumia mafuta zaidi.
Mafundi wengi hawana ujuzi wala vifaa sahihi vya kusafisha sensor kwani magari ya kisasa yanatumia mfumo wa computer.
Mafundi wengine wanaweza kukwambia fuel pump mbovu ya kubadilisha kumbe bado nzima.
Pia kama umebadilisha plugs na bado gari yako kuwa na dalili zilizotajwa hapo juu, basi inaweza kuwa MAF Sensor ni chafu na inahitaji kusafishwa
Tunasafisha kutumia spray solution maalum ya kusafishia mass air flow sensor.
Angalia matumizi ya wastani ya mafuta kwenye baadhi ya magari na engine za ukubwa tofouti.
IST 1.3-liters 20 km/L
IST 1.5-liters 18 km/L
Vitz 1.3-liters 21 km/L
Ractis 1.3-liters 20 km/L
Ractis 1.5-liters 18 km/L
Raum 1.5-liters 17 km/L
WISH 1.8-liters 15 km/L
Crown 2.5-liters consume 12.8 km/L
Crown 3.0-liters consume 10.5 km/L
Crown 3.5-liters consume 9.0 km/L
Harrier -1997 to 2003 btwn 8.8- 11km/L
Harrier -2003 to 2013 btwn 9.1- 11km/L
Subaru Imprezza - 12.7 km/L
Subaru Forester - 11.8 km_L
Subaru Legacy - 11.5 km/L
1996- 2001 Noah 12.5 km/L
2001 - 2009 Noah - 14 km/L
2010 Toyota Noah 14.6 km/L
Land Cruiser -Petrol- 14.4- 15.6 liters for 100 km
Land Cruiser -Diesel- 10 liters for 100 km
OKOA PESA, TATUA MATATIZO YALIYOTAJWA JUU NA WEKA GARI LAKO KATIKA HALI BORA.
Wasiliana na mimi +255788624499 nikusafishie maf sensor yako
Mwambie na mwenzako.
Asanteni na karibu upate suluh
View attachment 2050100
View attachment 2050101
View attachment 2050585
View attachment 2050732
View attachment 2062250
View attachment 2062251
View attachment 2062252
Pamoja sana mkuuAsante sana mkuu nimeijaribu hii idea leo
imefanya kazi nashukuru kwa ushauri
Hapo fresh. Si ushafika. Shida ingekuwa unahitaji kuaccelerate tena.Mita cha he mbele unakata kona kuingia nyumbani, mguu bado upo kwenye mafuta, unafika kwenye kona ndio unapiga break......hapo vipi?
Inawezekana. Driving behavior inachangia sana. Inawezekana una accelerate kwa haraka mno, unafunga brake hovyo hovyo, una spidi za hatari nk. Ile rpm huangalii.
Jitahidi kupangilia uendeshaji wako.
Jitahidi ucheze between 80 to 100 km speed. Rpm ya around ya 2 inatosha.