Utajua wewe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2024
- 928
- 1,836
Hapana ni agano la mileleNdoa inavunjika ukifa wewe kwa hiyo anakuwa huru kuolewa tena na kupigwa miti.
Hakuna mtu anaweza ,nitahushisha damu kumwagikaKabla hata hujafa, kuna mwamba anapoa nae.
Lipo ukurasa wa ngapi kwenye kitabu cha Bulicheka na Lizabeta?😂Hapana ni agano la milele
Utasikiaje wakati utakuwa ushakufa.Kakitaka kitu kitaniuma humu duniani nikusikia mke wangu kaolewa !!
Hili jambo naliwazaga sana ila soon nitapata majibu ila katika hayo majibu mliobaki hamta faidi kituSasa utafanyaje na wakati huo utakua al-marhum?Goma linachukuliwa tu hata ujigeuze kaburini.Watu tunakula tu mkate wa marehemu no matter what!🤣🤣🤣🙏
Sijui ila asiguswe kitaumana!!Utasikiaje wakati utakuwa ushakufa.
Unataka uondoke naye au umloge unono upotelee mbali?Hili jambo naliwazaga sana ila soon nitapata majibu ila katika hayo majibu mliobaki hamta faidi kitu
😁mkuu unapiga spanaLipo ukurasa wa ngapi kwenye kitabu cha Bulicheka na Lizabeta?😂
Hakuna k2 mtafaidi mamaeehSawa, tutakuoa ww huko huko kaburini
Nakucharua uchangamke mkuu.😁mkuu unapiga spana
Yaani hapa hamtafaidi kituNakucharua uchangamke mkuu.
Na hata kama havutii,tunamkabidhi yule kaka yake mkubwa amuoe.Hatutaki ajawe upweke.Only the deads are lonely ones.Ukifa habari yako imeisha, ya duniani haya kuhusu tena kwa hiyo kama mkeo anavutia lazima tumuoe.