NIKIFANYA MAPENZI NA MPENZI WANGU NI KASI MPAKA Wote tunachubuka.

NIKIFANYA MAPENZI NA MPENZI WANGU NI KASI MPAKA Wote tunachubuka.

fanyeni taratibu...
Mkishindwa tumieni vilainisho....kama pre seed,durex,ky
 
kila anechomeka huwa anasema anafanya mapenzi, lakini si kweli kuna wengine wanastareheshana, wengine wanabaka, wengine wananyanyasa jinsia,wengine wanakomesha, wengine wanarudisha hela au bia walizotoa,wengine wanatafuta umaarufu,wengine wanaambukiza etc. So tambua sababu yako then speed na mchomeko vitakuwa defined kutokana na sababu yako, by the way sex was never ment to injure pubs!
 
selfish guy, mungu atuepushie.
Mimi hata sishangai wasichana wanapowakimbia hawa vijana na kutafuta shuga dadi, kama vijana wenyewe ndio hivi!!
jamani, namuena huruma huyo anaepelekwa marathon bila kupenda, bado anajiita mpenzi?
 
Khaaah!! Imekua mieleka hiyo chali angu? Ngoja niangalie zangu cd ya WWE!!
 
Bidada akitoka hapo, anaisikilizia inavyowaka moto, pole yake
 
Back
Top Bottom