Nikigombana na mke wangu anafuta kila kinachohusiana na mimi kwenye simu yake.

Nikigombana na mke wangu anafuta kila kinachohusiana na mimi kwenye simu yake.

Subiri akutoe roho... Akupe magonjwa... Akupe ukichaa... Akupe ulemavu...
Kwani mama yako huyo fukuza mbwa hiyo by the way umeizalisha, achana naye...
 
Kwangu mimi mwanamke tukigombana na akaniambia "usinipigie wala kutuma sms tena" au "tuachane", baada ya hapoa mapenzi kwake yanapungua mazima kama siyo kuisha kabisa. Hizo kauli zinamaanisha sana hata kama akiongea kiutani nampiga chini kabla sijapigwa
 
Hili nadhani ni tatizo la akili au sijui nini, yani tukipishaba kauli, kila kinachonihusu mimi kinafutwa hadi namba ya simu.
Baadae ana isave tena namba yangu ila ananisave majina ya ajabu ajabu, nimepiga mikwala ila imeshindikana, kuna mwenye experience na hili?
Nimeshaishi maisha hayo na nikakua na kukomaa kiakili.
Ataendelea hivyo baada ya muda atakufuta kwenye Moyo.
Na kuna siku utafanyiwa tukio la hatari sana,ogopa sana watu wa aina hiyo.
 
Mwanamke akiwa na hasira hatoi penzi bali anachukia wanaume wote na kuwaona🐕
Weeeeh!!! Mwanamke mwenye hasira na mume wake analika kirahisi mnoo!!!
Hizi scenario tunazo, tena saa nyingine anakuomba mwenyewe ama kutengeneza mazingira ya ushawishi akihisi ni njia ya kulipa kisasi
 
Weeeeh!!! Mwanamke mwenye hasira na mume wake analika kirahisi mnoo!!!
Hizi scenario tunazo, tena saa nyingine anakuomba mwenyewe ama kutengeneza mazingira ya ushawishi akihisi ni njia ya kulipa kisasi
😳
 
Hili nadhani ni tatizo la akili au sijui nini, yani tukipishaba kauli, kila kinachonihusu mimi kinafutwa hadi namba ya simu.
Baadae ana isave tena namba yangu ila ananisave majina ya ajabu ajabu, nimepiga mikwala ila imeshindikana, kuna mwenye experience na hili?
KUbwa Bure umewahi kuowa lkn huna elimu ya ndoa na akili ya ndoa
 
Hili nadhani ni tatizo la akili au sijui nini, yani tukipishaba kauli, kila kinachonihusu mimi kinafutwa hadi namba ya simu.
Baadae ana isave tena namba yangu ila ananisave majina ya ajabu ajabu, nimepiga mikwala ila imeshindikana, kuna mwenye experience na hili?

Na wewe una ugonjwa wa akili Kama yeye, unampigaje mtu mwenye madhaifu mikwa? Unatakiwa kumuelewa na kumpa mda!
 
Hili nadhani ni tatizo la akili au sijui nini, yani tukipishaba kauli, kila kinachonihusu mimi kinafutwa hadi namba ya simu.
Baadae ana isave tena namba yangu ila ananisave majina ya ajabu ajabu, nimepiga mikwala ila imeshindikana, kuna mwenye experience na hili?
Bipolar
 
Hili nadhani ni tatizo la akili au sijui nini, yani tukipishaba kauli, kila kinachonihusu mimi kinafutwa hadi namba ya simu.
Baadae ana isave tena namba yangu ila ananisave majina ya ajabu ajabu, nimepiga mikwala ila imeshindikana, kuna mwenye experience na hili?
Hyo dozi anayotumia ni kubwa mno hvyo inatakiwa afanyiwe yule anaeachana nae lkn mnaishi pamoja halafu anafuta vitu vinavyohusiana na ww kweli huyo ana afya ya akili
 
Back
Top Bottom