Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshaishi maisha hayo na nikakua na kukomaa kiakili.Hili nadhani ni tatizo la akili au sijui nini, yani tukipishaba kauli, kila kinachonihusu mimi kinafutwa hadi namba ya simu.
Baadae ana isave tena namba yangu ila ananisave majina ya ajabu ajabu, nimepiga mikwala ila imeshindikana, kuna mwenye experience na hili?
Weeeeh!!! Mwanamke mwenye hasira na mume wake analika kirahisi mnoo!!!Mwanamke akiwa na hasira hatoi penzi bali anachukia wanaume wote na kuwaona🐕
Hapa bado hujanishawishi, the truth is oppositeMwanamke akiwa na hasira hatoi penzi bali anachukia wanaume wote na kuwaona🐕
😳Weeeeh!!! Mwanamke mwenye hasira na mume wake analika kirahisi mnoo!!!
Hizi scenario tunazo, tena saa nyingine anakuomba mwenyewe ama kutengeneza mazingira ya ushawishi akihisi ni njia ya kulipa kisasi
🤔Hapa bado hujanishawishi, the truth is opposite
KUbwa Bure umewahi kuowa lkn huna elimu ya ndoa na akili ya ndoaHili nadhani ni tatizo la akili au sijui nini, yani tukipishaba kauli, kila kinachonihusu mimi kinafutwa hadi namba ya simu.
Baadae ana isave tena namba yangu ila ananisave majina ya ajabu ajabu, nimepiga mikwala ila imeshindikana, kuna mwenye experience na hili?
Hili nadhani ni tatizo la akili au sijui nini, yani tukipishaba kauli, kila kinachonihusu mimi kinafutwa hadi namba ya simu.
Baadae ana isave tena namba yangu ila ananisave majina ya ajabu ajabu, nimepiga mikwala ila imeshindikana, kuna mwenye experience na hili?
Yeah thats me. Block kila mahali kwa wiki nzimaKawaida sana,block& unblock?
Kawaida sanaaaaa🙄
Yaan ni balaa 🤣Yeah thats me. Block kila mahali kwa wiki nzima
Ila huwa inakuwa ni kosa kubwa sana. Na hapo nimeshasepa zangu😅😅Yaan ni balaa 🤣
Mfyuuuu! Mbinguni utapasikia tu ujue😁
Ili members wamnyoshe kidogo...Mfyuuuu! Mbinguni utapasikia tu ujue😁
Huko unakosepa unaenda fanya nini?Ila huwa inakuwa ni kosa kubwa sana. Na hapo nimeshasepa zangu😅😅
BipolarHili nadhani ni tatizo la akili au sijui nini, yani tukipishaba kauli, kila kinachonihusu mimi kinafutwa hadi namba ya simu.
Baadae ana isave tena namba yangu ila ananisave majina ya ajabu ajabu, nimepiga mikwala ila imeshindikana, kuna mwenye experience na hili?
Hyo dozi anayotumia ni kubwa mno hvyo inatakiwa afanyiwe yule anaeachana nae lkn mnaishi pamoja halafu anafuta vitu vinavyohusiana na ww kweli huyo ana afya ya akiliHili nadhani ni tatizo la akili au sijui nini, yani tukipishaba kauli, kila kinachonihusu mimi kinafutwa hadi namba ya simu.
Baadae ana isave tena namba yangu ila ananisave majina ya ajabu ajabu, nimepiga mikwala ila imeshindikana, kuna mwenye experience na hili?