Nikihama kozi, mkopo niliopata utaendelea kuwepo?

Nikihama kozi, mkopo niliopata utaendelea kuwepo?

Diploma nao wana mikopo yao, hawako under HELSB. Ila kwa hio kozi ya nursing haina mkopo hata kwa Diploma ada ni juu yako

Na wasiwasi na hio meterology utakuja kusumbuka baadae kutafta ajira. Tafta kozi nyingne ya degree ukitaks ubaki na huo mkopo, Teaching, afisa mifugo, kilimo, angalia kozivambazo watu wanapatia ajira
Bac,ngoja nichukue ualimu kaka
 
Bac,ngoja nichukue ualimu kaka
Chukua na somo la sayansi angalau moja hua walimu wa sayansi wanapat prioty kuliko Art.
Ukimaliza chuo ata Unawez kufungua tuition Center yako ujiajiri ukisubiri ajira. Huo mkopo ukiweza kuutumia vizuri kajiribu ku save maana huku mtaani life ni gumu upate angalau back up ya kuanzia ( biashara)

Hio kozi ya metrology/ hali ya hewa ata ukisema ujiajiri utafanya nn sasa. Chamsingi ni kupata pesa hicho cheti ni back up endapo mambo yako yakigoma utakitumia . Lengo ni kupta financial freedom ambayo haipatikani kwa ajira
 
Mdogo wangu naona unataka kujichanganya. Ni bora uhame chuo kuliko kuhama kozi.
 
Back
Top Bottom