Nikikaa muda mrefu nawashwa sana makalio, hii imekaaje?

Wengine wanazamisha mkono eti!!

Kuna baba mmoja nilimfuma amezamisha mkono halafu hana habari kama namuangalia...comfortable kabisa bila wasiwasi.

Nikajisemea.. Sio ajabu ukute biashara zake ni za vyakula.. Ptyuu.
Teh teh, watu hawachoki kunishangaza...
 
Mtoa mada mbona swali lako umeulizia uwanja wa mapenzi, pia mbona kiswahili chako sio kizuri...

Kwa taratibu hizo hapo juu ni shida mtu kukusaidia inaonekana kama unaleta mzaha.

Kama ni kweli tatizo lako linaweza kuwa ni
1) Minyoo-Kwa kuanzia tumia dawa inaitwa zentel tablets kwa siku tatu mfululizo.
2)Fungus-Angalia kama unawasha hadi chini ya mapumbu au ni kwenye tundu la haja kubwa tu-kama ni hadi chini ya pumbu kuna uwezekano mkubwa ni fungus,jaribu dawa inaitwa dactarin cream.

Pia ongeza usafi piga pasi boxer zako zote na ukifua anika nje
 
Punguza kitimoto mkuu, una minyoo iliyotoka kwenye kitimoto isiyoivishwa
Wacha uchochezi Mkuu, ukisema watu waache kula kitimoto kisa kuepuka Minyoo, basi waambie wasile hata nyama ya Ng'ombe.

Mifugo kama Ng'ome na Nguruwe wote wana uwezekano wa kupata na kusambaza Minyoo[Taenia saginata & Taenia solium].
Kwa hiyo huwezi kuwashauri watu wasile kitimoto ilikuepuka Minyoo unless uwaonye wasile na nyama ya Ng'ombe.Tofauti na hapo ni propaganda ovu dhidi ya ....................
 
Hapo kwenye Boxer mzee umenikamata....
Kwa WASTANI navaa Boxer moja kwa cku tano, na napofua nazianika ndani getto zinakauka taratibu...
Kuanika nje aibu Mwanangu....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Nikununulie boxer tano hili kila siku hubadili? .Pili utakuwa una minyoo jitahidi umwone Daktari.
 
Unavaa nguomza ndani mbichi, yaani hazijakauka vizuri,
 
Mkuu kapime minyoo au kaswende japo kaswende kuigundua ni vigumu mpaka uchunguze historia vizuri

MKUU minyoo wanapimaje?? Unampelekea daktari mavvi yako.... Looh hapana siwez...
Bora nimeze dawa straight juu kwa juu...

Kaswende sina bana, demu wangu MSAFI halafu DUME huwa sisahau mzee...

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
dawa zipi mfano mkuu?
Tumia Albendazole....zipo nyingi tu kwenye maduka ya dawa za binadamu. Ukitumia hakisha unatumia tumbo lako kiliwa empty. Asubuhi mapema hujala kitu chochote "unamumunya" kama pipi unasubiri baada ya saa 2 ndiyo unapata break fast yako. Pia usinywe maziwa ni antidote....usinywe maziwa au kitu chochote kilokichochanganywa na maziwa kwa siku 2 ili dawa ifanye kazi vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…