Alex24hrs
Member
- Apr 19, 2024
- 81
- 135
Hakika ipambanie itimieAsant mkuu ndoto yang inamwanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika ipambanie itimieAsant mkuu ndoto yang inamwanga
Bwana mdogo huwezi jibu Kila mtu, let them speak, but to cut the story ni kwamba kama unachukua NMB, Kuna loan calculator...nenda google andika NMB loan calculator uta adjust kulingana na mahitaji yako, the same Kwa CRDB, NBC,....I wish you the best.Mkuu hyo n wrtng style ya ujana tu, pia swali lako general maana humu kila mtu anatumia bank yake na zpo nyng hzo bank kwahyo nataka kila mtu achangie kwa experience ya bank anayotumia sjataka kuwa specific maana ntakosa maon meng ya msng
Asant hi ndo reply ya mwsho uz ufutweBwana mdogo huwezi jibu Kila mtu, let them speak, but to cut the story ni kwamba kama unachukua NMB, Kuna loan calculator...nenda google andika NMB loan calculator uta adjust kulingana na mahitaji yako, the same Kwa CRDB, NBC,....I wish you the best.
Unaenda kutafuta umasikini na limasters lako la mkopo! Unauhakika gani wa return kama utaweza kulipa mkopo??Nia yangu kubwa ni kwenda kusoma MASTERS nje kwa njia yeyote ile ambayo haihusishi matumizi ya njia haramu yeyote, Sasa nimeongea na wazazi wamekubali kuweka nyumba dhamana nipate mkopo bank wa milioni 6 kama kigezo moja wapo kupata VISA ya kuingia baadhi ya nchi kama umepata partial scholarship.
Sasa swali je tukikopa hyo 6M riba yake ipoje na tunataka tuilipe kwa mwaka mmoja tu! yan nikipa mkopo na nkpata VISA hyo hela yote nairudisha bank ibaki deni la riba tu ambayo ndo nataka kuijua itakua shingapi?
Vizuri sana mkuu. Sasa kwa namna ulivyoandika si rahisi mtu ajue unaulizia uzoefu wake na unataka ushauri wa benki gani utumie. Hujawa specific. Sijakopa benki ila Absa walikuwa na mkopo wa riba nafuu. Ngoja waje wazoefuMkuu hyo n wrtng style ya ujana tu, pia swali lako general maana humu kila mtu anatumia bank yake na zpo nyng hzo bank kwahyo nataka kila mtu achangie kwa experience ya bank anayotumia sjataka kuwa specific maana ntakosa maon meng ya msng