Nikikosa hela nakuwa na hasira hata sijui zinatokea wapi

Nikikosa hela nakuwa na hasira hata sijui zinatokea wapi

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Yaani zinakuwa juu kabisa, mtu anaweza hata kukohoa nikahisi anapiga kelele. Naona vurugu vurugu tu.
 
@sanalii,Hujazoea kufanya biashara, unapewaga tu, ndo maana mfanya biashara kukosa pesa ni sehemu ya maisha na nikawaida sanaa
 
hua nikiwa chuo, kupiga pasi ndefu ni kawaida yangu. naweza hata mtukana mtu afu ukilinganisha na kosa alilonifanyia yn mpaka najishangaa mwnyw.
 
sanalii, Mkuu, ebu fafanua kidogo...
Yaani wewe ukikosa pesa maana yake unashilingi kuanzia ngapi/hauna kabisa ama vipi..??
Maana kuna wengine akibaki na 100,000 hapo ndio kwanza anapata hadi homa kwamba hana pesa kabisa
 
Nadhani ni normal situation kwa wanaume wengi
 
Utafanikiwa sana . Inaonekana unauchukia ufukara
 
Asee mimi ni muongeaji sana ila nikiwa sina hata buku mfukoni nakuwa mpole na natia huruma hatari.
 
Back
Top Bottom