Nikikuchangia Laki Bwana Harusi Ukumbini nitegemee kupata nini?

Nikikuchangia Laki Bwana Harusi Ukumbini nitegemee kupata nini?

Niliwahi 200000 .Halafu siku ya tukio nikawahi saa mbili tu nipo aise sitoisahau hiyo siku nilipigwa njaa balaa tulikuja kula saa kumi na moja.halafu msosi uliokuja sasa finyango tatu za nyama za kukaangwa ndizi mzuzu pisi tatu na soda ya milinda.
Aise tangia hiyo siku nimeshaapa sitochangia harusi mpaka nakufa
 
Ulitoa pesa tsh ngp?
Nilijipinda mkuu;

Ila jamaa walitunywesha juice kuanzia saa kumi na mbili mpaka nne usiku halafu menyu ilikua mbovu balaa.

Nilijuta. Wenye shughuli wenyewe walikiri msosi mbovu.
 
Niwaambie sasa, hizi sherehe nyingi za siku hizi wachawi ni wanakamati. Wao ndo waliosumbua watu kuchanga, wao ndo wasumbuke kuhakikisha tunakuwa satisfied.

Lakini wengi wao wanajipambaniaga wao na familia zao, labda waagize vinywaji kwa meza wanaozijua wao.

Na wabane vingine ili wakavunjie kamati. Ni ujuha usio na mithili na ulimbukeni pro max huu. Mi nashauri wakiomba mchango watutumie na menu list na plan itakuwaje.

Nikienda nijijue nitakunywa juice box 5, nitakula a,b,c,d hivyo yani. Sio haya mabalaa wanafanyia watu ebo!
 
Niwaambie sasa, hizi sherehe nyingi za siku hizi wachawi ni wanakamati. Wao ndo waliosumbua watu kuchanga, wao ndo wasumbuke kuhakikisha tunakuwa satisfied.

Lakini wengi wao wanajipambaniaga wao na familia zao, labda waagize vinywaji kwa meza wanaozijua wao.

Na wabane vingine ili wakavunjie kamati. Ni ujuha usio na mithili na ulimbukeni pro max huu. Mi nashauri wakiomba mchango watutumie na menu list na plan itakuwaje.

Nikienda nijijue nitakunywa juice box 5, nitakula a,b,c,d hivyo yani. Sio haya mabalaa wanafanyia watu ebo!
Live itolewe menu ipoje mtu kama unaridhia kutoa utoe
 
Hamna kitu nachukia kama ghafla bi vuu mtu kakuadd kwenye group la harusi whatsap!
 
Back
Top Bottom