Nikikumbuka enzi zile za nchi nzima kukutana uwanjani kupokea na kushangilia ndege mpya, huwa nacheka sana

Nikikumbuka enzi zile za nchi nzima kukutana uwanjani kupokea na kushangilia ndege mpya, huwa nacheka sana

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Nchi hii tumetoka mbali sana na it is as if tulikuwa washamba nchi nzima mpaka Kenya walikuwa wanatucheka.

Nchi imetoka mbali hii.

Ingekuwa hata mama kila anachonunua au kujenga anapiga promo zile hii nchi ingekuwa ya masela.
 
Lilikuwa ni jambo la kushangilia sababu hamkuwa nazo. Ni kama mashoga wanawaona mnaoshangilia kubeba mimba kama hamna akili
 
Acha unafiki hizo ndege ndo tunapanda kwenda nazo nje
Ppp ilipasw kufanya kazi siyo serikali. Kwani ndege hatukuwa nazo? Precision air zililuwepo nk ila ndo hivyo tuliongozwa na mshamba mmoja hivi
 
Sasa hivi ndege alizonunua jiwe zote zimekufa, zinazotembea ni zile zilinunuliwa awamu ya 6
 
Nchi hii tumetoka mbali sana na it is as if tulikuwa washamba nchi nzima mpaka kenya walikuwa wanatucheka.

Nchi imetoka mbali hii.
Siku hizi mnakusanyika kumpokea Tundu Antipas Lisu kila atokapo kusalimia family Marekani 🐼😂
 
Sasa hivi ndege alizonunua jiwe zote zimekufa, zinazotembea ni zile zilinunuliwa awamu ya 6
Being 787, Airbus TC ... Labda kama unaziona hewani ujapanda ndege wewe

Anyway shida ni umasikin wa fikra ulio nao😂
 
Nchi hii tumetoka mbali sana na it is as if tulikuwa washamba nchi nzima mpaka Kenya walikuwa wanatucheka.

Nchi imetoka mbali hii.

Ingekuwa hata mama kila anachonunua au kujenga anapiga promo zile hii nchi ingekuwa ya masela.
Ushamba na Ujinga ndo kwanza umedizi!
Kwa sasa wameibuka machawa kuanzia mawaziri, wateule, media na jumuiya za ccm.
Maongezi hayaishi bila kumwaga sifa kwa mama SSH, bikira wa Taifa!
Yaani tumeondoka kwenye serikali yetu imefanya... Tumekuja kwenye SHUKRANI ZOTE kwa mama kafanya hiki... Kafanya kile... Bila yeye hiki au kile kisingewezekana!
Sifa zote kwa mama SSH bikira wa Taifa!

Ujinga Ujinga Ujinga Mtupu!
 
Nchi hii tumetoka mbali sana na it is as if tulikuwa washamba nchi nzima mpaka Kenya walikuwa wanatucheka.

Nchi imetoka mbali hii.

Ingekuwa hata mama kila anachonunua au kujenga anapiga promo zile hii nchi ingekuwa ya masela.
Umeandika ujinga na bila shaka na wewe ni mjinga kabisa. Sina shaka ni mjinga kabisa. Ndiyo ni mjinga mno. Wajinga mpo wengi
 
Nchi hii tumetoka mbali sana na it is as if tulikuwa washamba nchi nzima mpaka Kenya walikuwa wanatucheka.

Nchi imetoka mbali hii.

Ingekuwa hata mama kila anachonunua au kujenga anapiga promo zile hii nchi ingekuwa ya masela.
Kwani nyie si mpaka leo hii kila anunuae gari analipamba kwa maua!
 
Back
Top Bottom