Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu usiwaogope kabisa .......tena ni wazuri mno.Hapo hakutakuwa na ndoa ila kutakuwa na mtu anayeng'ang'ania vitu vilivyomzidi uwezo na mwisho mtatukanana tu.
50/50 wanayoipigania wanawake si ya majukumu bali ni kupata vitu kwa urahisi (bila kuvihangaikia).
View attachment 2931238
Hii 50/50 sijawahi kujua wanaongelea nini.Ndugu mwandishi hio 50/50 ipo good sana kama Mimi hapa Nina week nimelala ndani nakula na kunya yeye yupo job