ubalozi2017
Member
- Sep 30, 2017
- 22
- 12
Kula kwa kijiko na usijaze sana weka kiasi kama,,kama ni ugali kata tonge la wastani pia meza kwanza kabla ya kuweka chakula kingine mdomoni.
Kwa habari ya usafi unaishi mwenyewe safisha geto lako kila jmoss au pili unapotoka job.
Alafu hizi ni tabia zinaanza tangu udogoni fundisha na watoto wako wasiige
Kwa habari ya usafi unaishi mwenyewe safisha geto lako kila jmoss au pili unapotoka job.
Alafu hizi ni tabia zinaanza tangu udogoni fundisha na watoto wako wasiige