ubalozi2017
Member
- Sep 30, 2017
- 22
- 12
mkuu ahsanteee sanaaaHahahaaa. Nimecheka sana yaani.
Jifunze tu kula taratibu pasi kuwa na papara sababu chakula ni chako na mlaji ni wewe. Na pia uwe unachota saizi ya kile kinachoweza kuingia mdomoni kwako.
KijikooooSwali zuri.
Wanajamii foruma nawasalikuu sana poleni sana na mahangaikoo ya siku nzimaa
Niwasimuliee mkasaa kidogoo nimehamishwa kikazi mkoa mmoja humu katikati ya nchiii nimemuacha mama watoto huko mkoanii ,nimekuwa nikila mtaani kwa miezi sita hadi nikachokaa sana nimeamua kujipikiaaa toka mwezi umeanzaaa
Lkn sasa shida nikiwa nakulaaaa lazima idondokeee kila maraa sasa gheto linakuwa chafuuuu hadi keroo hadi namkumbuka mama watotooo
Nifanyajee ndugu zanguuuu
We shayrose ebu njoo pm tafadhaliUkila na mkono au na kijiko tuanzie hapo kwanza
Haaaaa haaaaa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nenda hospital ukacheki afya. Usije ukawa pia na stress zinazokaribia kukuletea stroke ambayo huwa na dalili ya lack of coordination ya viungo.
Usichukulie mzaha.
Wanajamii foruma nawasalikuu sana poleni sana na mahangaikoo ya siku nzimaa
Niwasimuliee mkasaa kidogoo nimehamishwa kikazi mkoa mmoja humu katikati ya nchiii nimemuacha mama watoto huko mkoanii ,nimekuwa nikila mtaani kwa miezi sita hadi nikachokaa sana nimeamua kujipikiaaa toka mwezi umeanzaaa
Lkn sasa shida nikiwa nakulaaaa lazima idondokeee kila maraa sasa gheto linakuwa chafuuuu hadi keroo hadi namkumbuka mama watotooo
Nifanyajee ndugu zanguuuu