Nikila maharage yanatoka kwenye kinyesi kama yalivyo; nini shida?

Nikila maharage yanatoka kwenye kinyesi kama yalivyo; nini shida?

Hao wanaosema hautafuni sidhani kama ni sababu, mbona Mimi sitafuni ugali Ila sijawahi kunya matonge??
 
Tafuna vizuri maana mechanical digestion yote inaishia mdomoni kwa hiyo usipotafuna chakuka kikishafika ndani hakuna kitakachoendelea kitatolewa kama kilivyo, chemical digestion itafanyika kwa kile chakula ambacho kimeshavunjwavunjwa tu.
Umeshauri sahihi mkuu, inaonesha huwa anameza bila kutafuna ndiyo maana
 
Back
Top Bottom