Sawa lakini mazoezi ya mchaangani yapo, hata mprira wa mguu huwa tunafanya kwanza mazoezi kabla ya mechi yenyewe.Hiyo ni Tiba nzuri kupunguza uzinzi ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa lakini mazoezi ya mchaangani yapo, hata mprira wa mguu huwa tunafanya kwanza mazoezi kabla ya mechi yenyewe.Hiyo ni Tiba nzuri kupunguza uzinzi ..
1.inawezekana ni stress.
2.pia kuna uwezekano wa nguvu za giza zinafanya kazi.
3.Mpapase kichwani kama ana pini au sindano iondoe,mambo yatakuwa safi?
eeeeeh ivi umesema ni mkeo eeeeh?
Halafu wewe hujaacha tu, wakati huu unajiandaa na harusi?kaka hizo si ishu za kushangaa, madume kibao tunalo hilo tatizo, mi kwangu si kwa kiasi cha kutosimamisha ila napata bao la kwanza fasta,kuliko ilivyo kwa demu niliyemzoea.hizi ni psychological issues tu na kama unataka uone kama ni hizo omba game tena au kabla ya game ya kwanza pata maji ya ilala kama chupa 4 hivi kutoa uoga na kujenga kujiamini uone kama hilo game hutapiga kama kawa.
Penny na wewe? mmmmmmmh,duh sijui nisemeje,swali gumu sana ila mchezo wa kwenda kwa waganga SI MZURI.Ehe, asante sana TALL, kumbe hiyo ndo dawa, acha kazi ianze sasa. Je! na sasa hiyo pin au sindano niza kawaida tuu au ndo mpaka zitoke kunako stahili?
si useme tu kama tatizo ni lako usaidiwe kwani mpaka uzunguke hivyo?
huo mtego demu wako kakufanyia.......mambo ya mjini.......kuna mwenzako aliiingia vizuri lakini laligongwa na nyoka huko ndani sa sijui huyo nyoka aliingia kunako ya mwanamke............