Unajitibu UTI tu,je umeshau AIDS?Wakuu kwema?
Kila nikilewa tu nataman wanawake! Najikuta mara nyingi najitubu UTI kali kila mara
Nadhan mnajua ukilewa mipira unasahau. Lengo la huu Uzi ni mwenye connection ya dawa ya kuacha pombe please naiomba.
Kabla hayajanikuta ya kunikuta.
Nawasilisha.
Nawapa pole ambao kiukweli wameingia kwenye dimbwi la kunywa pombe kupitiliza, ni moja ya addictions mbaya mno. Jamaa is 40yrs, anapiga nyagi ndogo av. 4 kila iitwapo leo, miguu inatetemeka, usikivu umepungua kwa 30%, nyao zimekufa ganzi...haendi tena kazini daily..kifupi he's becoming stuuuped!Kuacha pombe ni ngumu sana, unaweza kukaa hata wiki mbili siku kiu yake ikija ndo utajua hujui
Huyo yupo kwenye stage mbaya sana, point of no returnNawapa pole ambao kiukweli wameingia kwenye dimbwi la kunywa pombe kupitiliza, ni moja ya addictions mbaya mno. Jamaa is 40yrs, anapiga nyagi ndogo av. 4 kila iitwapo leo, miguu inatetemeka, usikivu umepungua kwa 30%, nyao zimekufa ganzi...haendi tena kazini daily..kifupi he's becoming stuuuped!
Kila kitu kwa kiasi wakuu!!
NakaziaSio Kwa mwanaume tu, Huwa Kila siku nawaambia, usije kuthubutu kuoa mwanamke ambaye huwaza kutoka nyumban, aende Bar /Pub fulan kunywa Pombe
Pombe huongeza nyege.
Na Kwa Bahati mbaya, aliyelewa awe Mwanaume au Mwanamke, hamna anyekumbuka Kondomu.
Ni ngumu ila inawezekana 'ukiamua'.Kuacha pombe ni ngumu sana, unaweza kukaa hata wiki mbili siku kiu yake ikija ndo utajua hujui
Kanuni tatu muhimu za pombe za kuzingatia sanaWakuu kwema?
Kila nikilewa tu nataman wanawake! Najikuta mara nyingi najitubu UTI kali kila mara
Nadhan mnajua ukilewa mipira unasahau. Lengo la huu Uzi ni mwenye connection ya dawa ya kuacha pombe please naiomba.
Kabla hayajanikuta ya kunikuta.
Nawasilisha.
Inabidi tunywe wotee plz, napenda sana watu waaolewa, kuacha huwezi acha haraka ni unaacha taratibu kwa kupunguza, nimejikuta kuwa walevi ni rafk zangu, karibu rafiki kwenye life yanguWakuu kwema?
Kila nikilewa tu nataman wanawake! Najikuta mara nyingi najitubu UTI kali kila mara
Nadhan mnajua ukilewa mipira unasahau. Lengo la huu Uzi ni mwenye connection ya dawa ya kuacha pombe please naiomba.
Kabla hayajanikuta ya kunikuta.
Nawasilisha.