Mzee Kimamingo
JF-Expert Member
- Mar 31, 2024
- 1,861
- 4,462
Nawaambiaga pombe ni kwa ajili ya akili kubwa tu ukiona ww pombe inakuendesh na unashindwa kui control achana nayo imekuzidi uwezo tayari.
Mbona pombe tunakunywa na tunarudi home fresh tu tena Tuna drive bila shida na kesho mapema tunawahi Job.
Nyie pombe kwani mnakunywaje kunywaje au mnakunywa matap tap
Mbona pombe tunakunywa na tunarudi home fresh tu tena Tuna drive bila shida na kesho mapema tunawahi Job.
Nyie pombe kwani mnakunywaje kunywaje au mnakunywa matap tap