X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
kama unapata mkopo tumia hiko hiko kidogo ulicho nacho kufanya biashara mtaani kugumu sanaðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiunge na sportybet, sportpesa, parimatch na betpawaMimi ni mwanafunzi wa chuo, nipo mwaka wa mwisho. Hapa nilipo ninamawazo mengi kuhusu kipi ntafanya baada ya kumaliza chuo. Nasomea mambo ya Utaalamu wa Vifaa Tiba vya Hospitali. Wazazi wangu na ndugu zangu wana matumaini makubwa sana juu yangu hadi naogopa!!
Mwenye ushauri wwte naomba anisaidie jmn!!!. Kwasababu sahz hadi naogopa kurudi nyumban baada ya kumaliza chuo.
Mpaka ututafsirie maana ya msomi.Mimi ni mwanafunzi wa chuo, nipo mwaka wa mwisho. Hapa nilipo ninamawazo mengi kuhusu kipi ntafanya baada ya kumaliza chuo. Nasomea mambo ya Utaalamu wa Vifaa Tiba vya Hospitali. Wazazi wangu na ndugu zangu wana matumaini makubwa sana juu yangu hadi naogopa!!
Mwenye ushauri wwte naomba anisaidie jmn!!!. Kwasababu sahz hadi naogopa kurudi nyumban baada ya kumaliza chuo.