Una maumivu au uvimbe chini ya masikio kuzunguka shingo? Infection ndiyo sababu kubwa ya maumivu wakati wa kumeza kitu.Wanajamvi Mungu ni Mkuu bado twapumua;
Kama nilivyotangulia kudokeza hapo juu,nikwamba nimekuwa nikipata shida sana (maumivu) nikimeza kitu chochote
.
Eneo la kidaka tonge! Ni kwa siku mbili mfululizo,Yani maumivu haya yananinyima raha sana,mbaya zaidi nipo eneo ambalo kupata huduma ya kitabibu ni shida maana ni kijijini sana.
Tafadhali kupitia jukwaa hili la JF Doctor naomba kupata msaada wa kitabibu.
Natanguliza Shukrani....!
au azimeze kituUna maumivu au uvimbe chini ya masikio kuzunguka shingo? Infection ndiyo sababu kubwa ya maumivu wakati wa kumeza kitu.
Nashukuru nilipata ushauri humu,Nilitumia njia ya asili kwa kusukutua,Now naendelea vyema!Una maumivu au uvimbe chini ya masikio kuzunguka shingo? Infection ndiyo sababu kubwa ya maumivu wakati wa kumeza kitu.
Una maumivu au uvimbe chini ya masikio kuzunguka shingo? Infection ndiyo sababu kubwa ya maumivu wakati wa kumeza kitu.
Mkuu nenda hospitali usiichukulie poa, uvimbe unaweza kuwa ni tezi za immune system chini ya masikio zina respond.Daaaah ni ninayo hyo Sky Eclat ilianza kiungulia kikali, baada ya kuisha nikapata hiyo sore throught kumeza kitu ilikuwa tabu.sa hv imeisha kumetokea uvimbe shingoni kwa juu chini ya sikio....
Yote hayo ndani ya week moja tu
Duuuuhh mpka nimsisimka aisee...Mkuu nenda hospitali usiichukulie poa, uvimbe unaweza kuwa ni tezi za immune system chini ya masikio zina respond.
Cancer ya oesophagus ni hatari, wahi hospitali.