KMMS
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 304
- 586
Wanajamvi Mungu ni Mkuu bado twapumua;
Kama nilivyotangulia kudokeza hapo juu,nikwamba nimekuwa nikipata shida sana (maumivu) nikimeza kitu chochote
.
Eneo la kidaka tonge! Ni kwa siku mbili mfululizo,Yani maumivu haya yananinyima raha sana,mbaya zaidi nipo eneo ambalo kupata huduma ya kitabibu ni shida maana ni kijijini sana.
Tafadhali kupitia jukwaa hili la JF Doctor naomba kupata msaada wa kitabibu.
Natanguliza Shukrani....!
Kama nilivyotangulia kudokeza hapo juu,nikwamba nimekuwa nikipata shida sana (maumivu) nikimeza kitu chochote
.
Eneo la kidaka tonge! Ni kwa siku mbili mfululizo,Yani maumivu haya yananinyima raha sana,mbaya zaidi nipo eneo ambalo kupata huduma ya kitabibu ni shida maana ni kijijini sana.
Tafadhali kupitia jukwaa hili la JF Doctor naomba kupata msaada wa kitabibu.
Natanguliza Shukrani....!