Duuuuhh mpka nimsisimka aisee...
Kwan tonsils ni ugonjwa?Mkuu pole sana hyo yawezekana ikawa tonsils jaribu kusukutua na maji ya uvuguvugu yaliochanganywa na chumvi. Maumivu yakizidi pata ushauri wa daktari.
AhsanteeeUsianze kuogopa kabla ya kuhakiki tatizo lipi maana kama ni tonsillitis tumia antibiotics zifuatazo anza na pen v ikigoma piga erythromcyin ikgoma kupona na hyo pga ampiclox
Then bado sasa nenda ocean road wakakuchek kama ni cancer or not maana oesophagus cancer ni very complicated nimewahudumia wengi wenye hali hiyo nafaham.
Kwan tonsils ni ugonjwa?