Nikimpa mimba Mwanafunzi wa secondary mwenye miaka 20+, kifungo kitanihusu?

Nikimpa mimba Mwanafunzi wa secondary mwenye miaka 20+, kifungo kitanihusu?

Wanatumia Education Act 2002, kosa ni Impregnating a school girl na penalty yake ni 30 yrs imprisonment
 
And they wont use rape(statutory rape) kwasababu atakuwa above 18, thus not falling under the strict definition of a child..
 
Pole kwa kuingia mkenge. Nilichokitumia hapo ni figure of speech ambayo inaitwa hyperbole. Huu ni ukolezaji wa chumvi kwa nia ya kutilia mkazo point na si kudanganya. Hata hivyo bado wewe ni makini sana. Umeainisha sheria husika vizuri sana. hongera.

AMENDMENT OF THE EDUCATION ACT
(CAP. 353)
Construction
Cap 353
20. This Part shall be read as one with the Education
Act, hereinafter referred to as the “principal Act”.
Amendment
of section 60
21. The principal Act is amended in section 60(1) by
deleting paragraph (k).
Addition of a
new section 60A
22. The principal Act is amended by adding
immediately after section 60 the following new section:
Prohibition to
marry or
impregnate a
primary or a
secondary
pupil.
60A.-(1) It shall be unlawful
under any circumstance for:
(a) any person to marry a
primary or secondary
school girl or a school boy;
or
(b) a primary or secondary
school boy to marry any
person.
(2) Any person who
contravenes any provision of
subsection (1) commits an offence and
shall, on conviction, be liable to
imprisonment for a term of thirty
years.
(3) Any person who
impregnates a primary school or a
secondary school girl commits an
offence and shall, on conviction, be
liable to imprisonment for a term of
thirty years.
(4) Any person who aids,
abates or solicits a primary or
secondary school girl or a school boy
to marry while pursuing primary or
secondary education commits an
offence and shall, on conviction, be
liable to a fine of not less than five
 
Mkuu umeweka vifungu safi kusapoti hoja yako pengine ni mjuzi wa sheria,kuna jamaa yangu aliwahi fungwa kwa kosa la kumpa ujauzito mwanafunzi wa sekondary(18+),tulimchomoa kwa appeal kwa hoja mbili
1. Sheria yetu inamtambua mwanafunzi kwa level ya primary tu ambayo ni elimu ya msingi na LAZIMA. Zaidi ya hapo akiwa under 18 utashitakiwa kwa kubaka hata km ni mwanafunzi wa level ipi.
2. Mtu huyu alikuwa 18+ na alikuwa advanced level by then.
Note: Me si mtaalam wa sheria,hizo hoja aliandaa mshkaji wetu ni wakili tukapeleka mahakamani akaachiwa huru bila rushwa wala chochote.
Kuna amendment ktk Education Act. Sheria No. 02/2016. Kifungu No. 22 cha Sheria hii kimeongeza kifungu kipya ambacho ni 60A katika Education Act na kinakataza mtu yeyote kumuoa au kumpa mimba mwanafunzi wa primary au secondary na haijalishi umri wake.
 
Hakikusu serikali itakuzawadia ponpon baiby daiper Kwa ajili ya mwanao
 
hivi mwenye 15 yrs ambae sio mwanafunzi inakuaje hapa,,anaejua anisaidie pls
Unafungwa wewe. Asiye mwanafunzi chini ya miaka 18 na mwanafunzi chini ya miaka 25 unakula mvua ya miaka 30. Juzi tu nimetoka kumfungulia mahtaka jamaa flani hapa mtaani kampachika mimba mdogo wangu under 18 na sio mwanafunzi.
 
Kama ni mwanafunzi wa msingi au sekondari ni kosa ni miaka 30 ikiwezekana na viboko 12
 
KWANZA UMETENGUA AMRI YA 6
PILI: SIO MKEO KUSEMA UMPE MIMBA
TATU:UMEMKATISHA MASOMO YAKE
NNE: LUPANGO INAKUHUSU
Tupanue mjadala,hebu tusaidie mkuu kifungu cha kisheria kisemacho ukimpa mimba mwanafunzi wa sekondari,adhabu yake ni jela miaka mingapi!!
 
Back
Top Bottom