FrediusSnowden
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 269
- 225
Huwa unaanzia wapi kutekenya? Na je, ushawai tekenya mwingne akatekenyeka kiasi cha kuona tofauti?Nakuja kwenu WAKUU na watabe wa tasnia hii..
Waswahili wanasema kua uyaone.. Mwenzio kila nikijaribu kwa nguvu zote kumtekenya mke wangu hacheki, msaada wakuu wa jamvi ili ni nusuru ndoa..
Msaada jamani!
Mleta mada ana kifua cha kukabili mambo? Haya ndiyo aliyataka mwenyewe!! Inabidi ayavumilie!!Kwani una kiungo cha mboga mkuu?? au inawezekana yeye ana bwawa!!
Inawezekana huwa ameshatekenywa na mafundi wa kutekenya sasa wewe anaona kama unamsumbua vile!Nakuja kwenu WAKUU na watabe wa tasnia hii..
Waswahili wanasema kua uyaone.. Mwenzio kila nikijaribu kwa nguvu zote kumtekenya mke wangu hacheki, msaada wakuu wa jamvi ili ni nusuru ndoa..
Msaada jamani!