FrediusSnowden
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 269
- 225
Nakuja kwenu WAKUU na watabe wa tasnia hii..
Waswahili wanasema kua uyaone.. Mwenzio kila nikijaribu kwa nguvu zote kumtekenya mke wangu hacheki, msaada wakuu wa jamvi ili ni nusuru ndoa..
Msaada jamani!
Waswahili wanasema kua uyaone.. Mwenzio kila nikijaribu kwa nguvu zote kumtekenya mke wangu hacheki, msaada wakuu wa jamvi ili ni nusuru ndoa..
Msaada jamani!