Nikimtekenya mke wangu huwa hachekelei!

Nakuja kwenu WAKUU na watabe wa tasnia hii..

Waswahili wanasema kua uyaone.. Mwenzio kila nikijaribu kwa nguvu zote kumtekenya mke wangu hacheki, msaada wakuu wa jamvi ili ni nusuru ndoa..

Msaada jamani!

Cheki na bandama, ukute ilishajifia, au ilitoka kitambo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…