Nikimuona 'mama wa afya napona hapo hapo!

Nikimuona 'mama wa afya napona hapo hapo!

Nichumu Nibebike

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2016
Posts
8,658
Reaction score
15,793
Hivi ni kweli kuna uhaba wa dawa?

Mbona mie sijaathirika na upungufu, kwani ugonjwa wangu mkubwa ni steless.. Bac nikiwa na stress natafuta clip za yule 'mama wa afya'. Bac nikiliona tu lile tabasamu lake, macho yake ya aibu na kasura kake kazuri.
Mie huyoo, steless zote kwisha.

Embu na wewe tuambie ulivyo athirika na uhaba wa dawa...
 
Back
Top Bottom