herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,967
- 3,212
Sijajua zaidi ni yapi yaliyomsibu Kizzy Daniel kuachana na management yake aliyokuwa nayo ila naona ni kama visa vinafanana na cha Harmonize.
Sitaki kujaribu kusema Harmonize atashuka ila najaribu kuangalia ukubwa aliokuwa nao Kizzy Daniel kipindi akiwa na management iliyomfikisha alipokuwepo na sasa alipo.
Kizzy Daniel alikuwa ni mkubwa tofauti na sasa ameshuka sana sijajua ni nini tatizo. Yote kwa yote Harmonize awe makini tu na atakachokuwa akifanya ili abaki kuwa juu.
Ni hayo tu nimejaribu kuwaza kwa sauti
Sitaki kujaribu kusema Harmonize atashuka ila najaribu kuangalia ukubwa aliokuwa nao Kizzy Daniel kipindi akiwa na management iliyomfikisha alipokuwepo na sasa alipo.
Kizzy Daniel alikuwa ni mkubwa tofauti na sasa ameshuka sana sijajua ni nini tatizo. Yote kwa yote Harmonize awe makini tu na atakachokuwa akifanya ili abaki kuwa juu.
Ni hayo tu nimejaribu kuwaza kwa sauti