Nikinyonya denda tumbo linasumbua

jamani naombeni msaada wenu mm nkila denda kwa demu wangu lazima asubuh niamke tumbo linasumbua sana mithili ya mtu aliyevimbiwa au kama limejaa gesi sjajua tatizo nini kwa anayejua naomba msaada wake
Ila ngoja, wakati wa tukio unajisikia vibaya kufanya ivo au unaenjoy tu??
 
jamani naombeni msaada wenu mm nkila denda kwa demu wangu lazima asubuh niamke tumbo linasumbua sana mithili ya mtu aliyevimbiwa au kama limejaa gesi sjajua tatizo nini kwa anayejua naomba msaada wake
Unakamua sana,jaribu kupunguza,au labda jaribu kunywa vinywaj vinavyopunguza ges mwilin kma vlle soda n,k baada ya kula denda
 
hahahahhahahhahahaha hiiii kali yake duuuuuhhh dawa ni kuacha
 
Hahah kwa kwel me mwenyew sipendi kudendeka aisee au ni tatizo
 
jamani naombeni msaada wenu mm nkila denda kwa demu wangu lazima asubuh niamke tumbo linasumbua sana mithili ya mtu aliyevimbiwa au kama limejaa gesi sjajua tatizo nini kwa anayejua naomba msaada wake
Ebu acha denda ujaribu chumvini...
 
Jamani naombeni msaada wenu,

Mimi nikila denda kwa msichana wangu lazima asubuhi niamke tumbo linasumbua sana mithili ya mtu aliyevimbiwa au kama limejaa gesi.

Sijajua tatizo nini, kwa anayejua naomba msaada wake.
Pole sana. Kula denda kunahitaji uhakika wa usafi wa kinywa wa hali ya juu, mdomo wa mtu huhifadhi uchafu mwingi na bakteria wengi huzagaa kwenye fizi ulimi na meno, sasa kuvamia mtu usiyemjua umakini wake katika usafi wa kinywa ni kujiingiza kwenye maambukizo, kwa wapenzi ni vizuri kujiandaa kwa usafi wa kinywa pamoja na sehemu mbalimbali zitakazohusika kabla ya kumkabili mwenzio, kuna mtu hajui hata kupiga mswaki unaanzaje kumla denda?. Wakati fulani niliwahi kuona mtu aliyeoza mdomo kwa kile kilichoelezwa kuwa amepata maambukizo baada ya kunyonya sehemu za siri la mpenzi wake. Ni vizuri kujihadhari na mapenzi yasio ratibiwa ili kujiepusha na maradhi mbalimbali.
 
nashukuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…